huyu jamaa anayetafuta mwanamwali mbona kimya? au ndo amewapata kibao wapo wamepanga foleni anawafanyia usaili wa ndani?
haha
violet nimeipenda rangi yako ya miguu wowAge mpaka 30, na uwe wa kwanza, mhh, Na huyo mwanamme mara yake ya kwanza. Ondoa mambo ya wivu, tafuta mjuzi, akuliwaze nyumbani. Sio wiki baada ya harusi unakwenda nje lol!
Age mpaka 30, na uwe wa kwanza, mhh, Na huyo mwanamme mara yake ya kwanza. Ondoa mambo ya wivu, tafuta mjuzi, akuliwaze nyumbani. Sio wiki baada ya harusi unakwenda nje lol!
hehehehe unajua haya mambo ya kupanda jukwaani kisha unatangaza unasaka mchumba ni sawa umeshindwa kutongoza sasa unatangaza utokewe wewe hahaha.hehehehe huyu jamaa anafanya upembuzi yakinifu au anafanya selection ya kufa mtu maana kuna mapicha ya wahusika vilevile anaangalia na location.
hehehehe unajua haya mambo ya kupanda jukwaani kisha unatangaza unasaka mchumba ni sawa umeshindwa kutongoza sasa unatangaza utokewe wewe hahaha.
ila huyu samy huyu nina mashaka nae simpi dada yangu katu
Tangazo/ombi la huyu mkuu linatisha.Hakuna mtu atajibu maana haijulikani anamtaka kwa ajili gani.Isije ikawa anatafuta kwa ajili ya ritual sacrifices! Si mnajua uchaguzi unakaribia na watz kama kawaida wanapenda kuiga? Nigeria ndo zao hizi.
Be specific/more elaborate Sam!
Jamani mie natafuta demu wa kihindi, hivi ni gia gani nitatumia kuwaningia naona huko juu watu leo ni ufisadi,mafisadi wa kihindi tuuuuu!!
mie nimeona vyema nitafute demu wa kihindi nijipooze na sory za baba zao mafisadi.
Prett na wengineo nipeni tactics za kuwaingia mademu wa kihindi kwani ni wazuri balaa umpate mwenye jicho la kulegea hata mechi utauza, kiuno balaa, nitatumia njia gani???
NgomaNzito mbona hujaleta feedback?
kuna vitu hata ukiuza mechi unajisifu......havipashwi kabisa kutumia mifuko.....Kuna mmoja anataka kuingia kingi kanikaribisha home kwao yeye kazaliwa peke wazazi wake hawasemi kitu juu yake kila anachoongea wazazi wake ni hewala tu, halafu alivyomchokozi akaenda chumbani akabadili kavaa night dress bahati mbaya maza wake alikuwepo walah ningemega tena ningeuza mechi inabidi next time niende full
nyepesi nyepesi ndio hizo nikiwin...
kuna vitu hata ukiuza mechi unajisifu......havipashwi kabisa kutumia mifuko.....
Unatafuta mwanamke wa jinsi gani? Kwanza ungetoa sifa za mwanamke unayetaka aweje kiumbile, kimasomo na dini.
Kuna mmoja anataka kuingia kingi kanikaribisha home kwao yeye kazaliwa peke wazazi wake hawasemi kitu juu yake kila anachoongea wazazi wake ni hewala tu, halafu alivyomchokozi akaenda chumbani akabadili kavaa night dress bahati mbaya maza wake alikuwepo walah ningemega tena ningeuza mechi inabidi next time niende full
nyepesi nyepesi ndio hizo nikiwin...
NgomaNzito kama unataka kuonja tu usisumbuke hivo kwenye makutano ya barabara za morogoro/jamhuri kuna teashop pale nje utamkuta mama wa kihindi anaitwa Zubeda ongea nae atakuunganisha na mmoja chapchap commission yake 20 na huko usitoe zaidi ya 50 plus room charge mwambie umeelekezwa na Abdul-code word.
I will try my brother