Wasiliana na Ms. Rambaramba (078725****). Ana specification zote unazohitaji hata na ziada. Ni mvumilivu sana wa shida, kiasi kwamba kwa mume wa kwanza alivumilia vipigo hadi akang'olewa meno 27. Hivi sasa ana meno 5 tu mdomoni. Hivyo ukimwoa hutakuwa na bajeti ya kununua nyama.
Warning: Ni mgumu kufika kileleni...kama wewe si mnywa gongo itakuwa shughuli kwelikweli kumpandisha mlima K'njaro...kama haja yako ni mikasi basi umepata.
haitaji mahali yoyote......Nakutakia kila la kheri.
....Duh! Amebaki na meno 5 tu mdomoni si mchezo mkuu huyo denda lainiiiiiiiiiiiiii......Kufika kileleni ni ufundi na ubunifu tu si suala la gongo kwanza...Wasiliana na Ms. Rambaramba (078725****). Ana specification zote unazohitaji hata na ziada. Ni mvumilivu sana wa shida, kiasi kwamba kwa mume wa kwanza alivumilia vipigo hadi akang'olewa meno 27. Hivi sasa ana meno 5 tu mdomoni. Hivyo ukimwoa hutakuwa na bajeti ya kununua nyama.
Warning: Ni mgumu kufika kileleni...kama wewe si mnywa gongo itakuwa shughuli kwelikweli kumpandisha mlima K'njaro...kama haja yako ni mikasi basi umepata.
haitaji mahali yoyote......Nakutakia kila la kheri.
Duh, kutongoza kazi sana bora chagulagha.
Tangazo/ombi la huyu mkuu linatisha.Hakuna mtu atajibu maana haijulikani anamtaka kwa ajili gani.Isije ikawa anatafuta kwa ajili ya ritual sacrifices! Si mnajua uchaguzi unakaribia na watz kama kawaida wanapenda kuiga? Nigeria ndo zao hizi.
Be specific/more elaborate Sam!
Naitwa sam naishi dar natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui digi wala kabila namba yangu 0713998604.Sammy
Hivi huku kutafuta mchumba mitandaoni ndio fashion? Au hawa watu wanaotafuta wachumba online wanamatatizo fulani flani.
Naitwa sam naishi dar natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui digi wala kabila namba yangu 0713998604.Sammy
Naitwa sam naishi dar natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui digi wala kabila namba yangu 0713998604.Sammy
Mimi nawashangaa sana wamatumbi wenzangu. Hivi swali hili angeuliza demu wa kimatumbi kuwa anatafuta bwana wa kihindi, tungesemaje? Na je, wangejitokeza mademu wengine wakimatumbi kumpa mkakati wa kumpata bwana wa kihindi tungewaonaje? Mnasikitisha sana wenzangu. Mnasikitisha.
Amandla.....
kwani hujui mwanamke ana kazi gani kwa mwanaume?
Naitwa sam naishi dar natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui digi wala kabila namba yangu 0713998604.Sammy
Naitwa Lucas naishi dar natafuta msichana ambaye atakuwa mchumba wangu, mwenye umri kati ya miaka 20-30 awe na heshima, mwaminifu, tabia zinazopendeza kwenye jamii, kwa upande wa dini sibagui dini wala kabila namba yangu 0713998604.Naomba awe tayari kupima HIV.Tafadhal naomba usibeep kama unaweza nipigie. Lucas
Msanii mambo ya kweli hayo. Wengi wanataka virgin, wanasahau mambo ya ndani yanataka ujuzi . Si unaona wengi kutwa kwa vimada. Mjomba wangu alikuwa na mke (alimwoa virgin) Akapata anaejua kutunza mwanamme. mhh anakwambia mpaka taulo linapashwa moto, ndala zinapagwa yaani kila kitu unatayarishiwa. sasa mke hafanyi chochote, hata kupika -house girl. Wanamme wanapenda attetion kama wanazopata kwa mama zao.