Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Jamani uzuri uko kwa mtazamaji. Kuna wanene wazuri na wembamba wazuri. Ishu si kuonana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni type ya ninao tafuta mimi sijui na mimi nitume maombi au unasemaje Mwana?
ah mie weye sikujua kama huwa unachaguaga lol (Nithamehe kaka, mfupa hauna ulimi teh)
shost unene si tija muhimu jinsi ya kuutumia waweza kuwa bonge na ukawa active kuliko sie vi-tritel, mobitel ............Mh mie hapa si bahati yangu maana anataka slim fit mie tipwa (ingawa spring chicken- just turned to 23 jana lol)ataniangalia kweli! Kila la kheri mziwanda wangoje kina naniliu wanakuja sasa hivi!
shost unene si tija muhimu jinsi ya kuutumia waweza kuwa bonge na ukawa active kuliko sie vi-tritel, mobitel ............
hahhahahahhaahaa hapo umenimaliza mama ila si unajua hiyo ndiyo hulka yao hata ukiwa laptop mama waataanza oooh mie sitaki Toshiba or Dell nzito sana wanataka vile vi-ACER aspier vya kuweka kwapani na kukimbia navyo....... so hawatosheki mummyAksante shost kwa kunipa moyo ila sasa hawa kina kaka zetu weshatunyanyapaa mwenzangu maana kila ajae anaorder vi-laptops! sie ma-desktops hatuna thamani tena !
hahhahahahhaahaa hapo umenimaliza mama ila si unajua hiyo ndiyo hulka yao hata ukiwa laptop mama waataanza oooh mie sitaki Toshiba or Dell nzito sana wanataka vile vi-ACER aspier vya kuweka kwapani na kukimbia navyo....... so hawatosheki mummy
ndio hapo sasa mummy kunguru muoga?.......................................Hapo sasa na si ndio maana akina Mziwanda wanachechetuka haya ngoja nikae kando mie shostito niwaachie kina Kelly01 lol
shost unene si tija muhimu jinsi ya kuutumia waweza kuwa bonge na ukawa active kuliko sie vi-tritel, mobitel ............
Hapo sasa na si ndio maana akina Mziwanda wanachechetuka haya ngoja nikae kando mie shostito niwaachie kina Kelly01 lol
kweli niko sirias kabisaa. wadau hii imekaaje? natafuta binti awe anaanzia miaka 23 hadi 26 hivi, mkristu (akiwa Roman itakuwa bomba zaidi) elimu kidato cha nne na kuendelea. Labda wadau mnawafahamu mabinti waliotulia mnipe michongo walipo. Nawasikilizia.
Wewe ni type ya ninao tafuta mimi sijui na mimi nitume maombi au unasemaje Mwana?
wewe mbona nimekupa nafasi unashindwa kuitumia mama au bado unalia na mziwanda?