Natafuta Rafiki, Mchumba

Hehehehehe...umejifunza lini kutumia photoshop?
bwa ha ha ha ha wewe kichaa kweli.......wazee wa IT si wapo humu watasema kama ni photoshop.......nipe namba yako nitakupigia video phone umuoene live......mie ndio Zidane wa sukuma shori
 
Unatafuta mke au mwanamke? Wanawake ni wengi sana hata katika nyumba uliyopanga au mtaani kwako. Lakini kama unatafuta mke hapo tena una kazi, maana mke hatafutwi gazetini. Waliowahi kufanya hivyo wameambulia kuokota makopo.

Leka
 
Mkuu,

Njoo huku Delh utabeba hata watatu kama hujali nidhamu lakini...

Teh teh teh!
Kuna mswahili tayari ashakaba nafasi yao!
 
hivi mkuu Idimi ulishapata huyo mchumba aka mwanamke
 
Hellow everybody here in Jamii forums
 
humu humu online? analipa?

Ndio alipatikana humu humu online na katika thread hii hii!
Suala la "Kulipa" siwezi kuliongelea kwa sababu ni relative sana, na linatofautiana kati ya mtu na mtu.


Hellow everybody here in Jamii forums

Hello Lisa.
You are welcome!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…