Urafiki wetu ulikuja automatically, sio kufanyiwa interview pmHiyo imani tuuu. Mbona mimi nawewe tu marafiki.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha
Mleta mada ana nini na wewe lakini?! Hebu akajibu pm za wahenga wengine hukoo
Mnanionea bure tu...Hahhaa....
Retired officer
Sakayo ni dada angu yan kuna nn kwanza unataka kuchepuka sakayo kwa nini asijue kama we shemeji yake lakiniWe nijibu tuu babe ake shunie!!
Naachaje kumjua mtu anemkula mdogo wangu?!
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbee huu uhusiano wangu na Shunie unaujua? Aisee dunia ina mambo
Sasa nashindwa kukujibu sababu sijaelewa maana ya kukomaa pande zote
Karibu sana ni pm tafadhalMimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Hahahahaha dah!Ulianza
Mchepuko
Leo mchumba
Kesho kutwa
Babu anataka kutest mitambo yake kama bado inafanya kazi
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hapana...Rafiki kipenzi, mchepuko !!! Una swali?!
Mpaka Davet amekuja huko mkuu ila yeye sio muhengaNimegundua wanaume wote walioko pm kwangu wana wake zao humu, na wake zao wametoa machoo.... uwiiiii kazi ipo.
Namuomba yeyote anayenifata pm ahakikishe mkewe ni mwelewa.... nasisitiza sitaki kurogwa humu
Astaghafirulilah...Naona ndo umetokea pm... Pamoja na kukuonya ulienda kwa nguvu!!
Shangaa na weweSakayo ni dada angu yan kuna nn kwanza unataka kuchepuka sakayo kwa nini asijue kama we shemeji yake lakini
Aiseee
Nijibu hebu, babe ake mdogo wangu!!!
Shunie ukuje!!
Hahaha
We hujakomaa
Kwakweli ikifika mambo ya foleni, moyo unakuwa mdogo urafiki una expire hapohapo. Shemeji mwingine tena?
Hahaha
Ongea taratibu, we si hupendi folenii!! Kuna shem wangu namuona kwa mbaaali
Ulikua unataka nini eti[emoji23][emoji23]..Nataka ila kauli tata kukomaa vp huko?
Ooh!! Sawa mkuu nilikua sijaelewa kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba yeyoo jumba bovu linamwangukia sakayo na wakati uliniacha mbele yakeHahaha
Hutaki au
Naona hapo ni mwachie mhusika atakuja kujibu mwenyewe. Lakini wewe rafiki ilinipeperushia njiwa wangu Shunie
Rafiki aliekomaa kila upande?.. duuh!!
NakaziaHamna u rafiki kati ya mwanaume na mwanamke usinitafute ubaya.
Mtoa mada Mimi ni mke wa huyu na Nina wivu na siyo mwelewa pia
Sijaelewa kwa nn kashangaa jamaniShangaa na wewe
We unatafuta rafiki hafu unaanza mikwara, navyokuhisi unataka mchepuko jamaa awe anakuja kwako unapata dozi hunalingineMimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Haha!! Nilikua sijajua sasa ndio nmejuaSakayo ni dada angu yan kuna nn kwanza unataka kuchepuka sakayo kwa nini asijue kama we shemeji yake lakini
Aringe?Mpaka Davet amekuja huko mkuu ila yeye sio muhenga
Heheh!!!Shangaa na wewe
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Hahahahaha dah!
Mimi nina miaka 24 nipe nafasi ya kuwa rafiki yako mamiii.Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.