Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

We nijibu tuu babe ake shunie!!
Naachaje kumjua mtu anemkula mdogo wangu?!
Sakayo ni dada angu yan kuna nn kwanza unataka kuchepuka sakayo kwa nini asijue kama we shemeji yake lakini
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbee huu uhusiano wangu na Shunie unaujua? Aisee dunia ina mambo

Sasa nashindwa kukujibu sababu sijaelewa maana ya kukomaa pande zote
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Karibu sana ni pm tafadhal
 
Nijibu hebu, babe ake mdogo wangu!!!

Shunie ukuje!!
Hahaha
We hujakomaa
Kwakweli ikifika mambo ya foleni, moyo unakuwa mdogo urafiki una expire hapohapo. Shemeji mwingine tena?
Hahaha
Ongea taratibu, we si hupendi folenii!! Kuna shem wangu namuona kwa mbaaali
[emoji23][emoji23]..Nataka ila kauli tata kukomaa vp huko?
Ulikua unataka nini eti
Ooh!! Sawa mkuu nilikua sijaelewa kidogo
Hahaha
Hutaki au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baba yeyoo jumba bovu linamwangukia sakayo na wakati uliniacha mbele yake
Naona hapo ni mwachie mhusika atakuja kujibu mwenyewe. Lakini wewe rafiki ilinipeperushia njiwa wangu Shunie
Rafiki aliekomaa kila upande?.. duuh!!
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
We unatafuta rafiki hafu unaanza mikwara, navyokuhisi unataka mchepuko jamaa awe anakuja kwako unapata dozi hunalingine
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Mimi nina miaka 24 nipe nafasi ya kuwa rafiki yako mamiii.
 
Back
Top Bottom