Tangu jana umenichomesha mahindi PM. Sijalala usiku kucha na leo sijaenda kibaruani nikimsubiri rafiki mpya...Babuuuu ninazidi kuvutwa kukufahamu zaidi ... maana si kwa kupiganiwa huku! kuna kitu....
Sasa kama hukitoi kwa mtu utakitoa kwa mnyama gani?Si mchezo. Nimekifichaaaa wala sikitoi kwa mtu!
Tangu jana umenichomesha mahindi PM. Sijalala usiku kucha na leo sijaenda kibaruani nikimsubiri rafiki mpya...
Na wewe kupigana vita huwezi?Haya maongezi yaishie pm... huku utanisababishia vita humu
Na wewe kupigana vita huwezi?
Nahene ndoho tabu bakwiza doho.
Nangi hamo nize nunene e'Pm tuhoye MayuNaheene!
Ha ha haaaa....Mbona huji pm sasa
UkomeTangu jana umenichomesha mahindi PM. Sijalala usiku kucha na leo sijaenda kibaruani nikimsubiri rafiki mpya...
Kuomba omba nn?Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo
Kama unatafuta rafiki upost kwenye forum hiyo hii forum ya mapenzi, alaf kwanini unachagua rafiki alaf na nyie wanaume mpo poa tu acheni ujinga we dada jiogope,Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Urafk wa mashakaMimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Ulipataga auMimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.
Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.
Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.
Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.
Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Twende zetu pm broo heheNiko hapa.
Ina naogopa kuja PM ...
OK Mimi niko tayr