Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Mtaani kwenu wenye vigezo hivyo hawapo au ndo njia mpya ya kuwakamata madomo zege Dada.
 
Mimi Niko 50+Nina mke na watoto saba Professional Yangu ni Social Scientists ni msabato na nimesoma seminary Sema taja sifa nyingine
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Kama unatafuta rafiki upost kwenye forum hiyo hii forum ya mapenzi, alaf kwanini unachagua rafiki alaf na nyie wanaume mpo poa tu acheni ujinga we dada jiogope,
 
Urafiki urafiki at the end of the day kitambi .
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Urafk wa mashaka
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Ulipataga au
 
Back
Top Bottom