Yeah sure Rafiki wa kweli ni akufaye katika hali na mali ,,, ila nakumbuka kuna siku ulihoji ,uwepo wa urafiki km huo ???? .
Sio kweli ukienda shule ndo unakua mwenye ushauri mzuri bali Rafiki mwenye Busara na Hekima ndo mwamuzi ,mshauri sahihi kwa rafiki.
Bila shaka amna rafiki wa 40 ambaye utamkuta hajaoa ,huyu ni baba wa familia nakm aliwahi kuzaa ujanan binti wakike tayar anamjukuu!!.. ( hapa nimegundua unahitaji pia akupe muda wake pia , naona kabisa unahitaji muda mwingi muongee ,kitu ambacho hakitokaa kitokee nazaidi tegemea tu kupewa ratiba ya maongezi. Nausiku noo maongezi,,,, ninaamin fika unatambua wanawake niwatu wa wivu sana ,, just imagine mumeo ndo anakua narafiki waivo utakua unajisikiaje ??? Hivyo ktk hili ,niwewe pekee wakuhakikisha unajiongoza ili urafiki wako nayeye usije kua chanzo cha magonvi ndani ya familia yake ,UNLESS kakukutanisha na mkewe mmejuana , lkn sio tu simu " mkewe akijua hatoweza kuelewa.
Swali langu ni je,, How did you do that?