Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Natafuta rafiki si kwa lengo la mapenzi

Joined
Mar 12, 2018
Posts
75
Reaction score
86
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
 
Umenifurasha sana et hutaki kuolewa mana tayari una maisha yako.
Ok kama rafiki tu haina shida ni PM lakini nahitaji tufahamiane zaidi ndo urafiki uanze.
Je una mtoto au watoto? Ngependa kuja tafadhali
 
Mimi ni dada natafuta rafiki ambaye ni kaka. Nasisitiza rafiki wa kiume aliyekomaa kila upande. Itapendeza akiwa umri kuanzia miaka 40. Sihitaji mpenzi, na wala huyu hatakuwa mpenzi wangu ila atakuwa rafiki wa hali na mali.

Akiwa ameenda shule itakuwa vema maana ataweza kunishauri. Mie pia nina madarasa ya kunitosha. Sijaolewa na sifikirii kuolewa maana nina maisha yangu tayari.

Kama ameoa ahakikishe mkewe ni mwelewa, mambo ya kuanza kutumiwa message za vitisho sitaki.

Asiwe na tabia ya kuomba omba maana mie sina tabia hiyo.

Kama sijaeleweka swali ruksa na sio matusi na kejeli.
Mimi ni babu, uko tayari kuwa rafiki na babu mimi?

Karibu PM tuunde urafiki wa babu na mjukuu...
 
Back
Top Bottom