ndohotabu doho
Member
- Mar 12, 2018
- 75
- 86
- Thread starter
- #21
Mimi ni babu, uko tayari kuwa rafiki na babu mimi?
Karibu PM tuunde urafiki wa babu na mjukuu...
Yes Babu, nakuja pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni babu, uko tayari kuwa rafiki na babu mimi?
Karibu PM tuunde urafiki wa babu na mjukuu...
Nipigie chapuo basi na wewe??Ooh yeah!!!!
Niko hapa.
Ina naogopa kuja PM ...
Karibu sana, usinichomeshe mahindi tafadhali...Yes Babu, nakuja pm
Karibu sana, usinichomeshe mahindi tafadhali...
Harder[emoji1] [emoji1]Yes yes, iiiiiyess
Babu tuliaaaa babuuu,...bibi Sky ni rafiki toshaaNipigie chapuo basi na wewe??
Huoni kama hili ni zali limemdondokea babu yako?
Huyu si kasema rafiki wa kawaida tu? Ingekuwa rafiki wa kimapenzi ningepita kushotoBabu tuliaaaa babuuu,...bibi Sky ni rafiki toshaa
Ooouuuuwww yeeeeaaahhhhh!!!!!!!😉😉😉 Kamatia hapo hapoooooooooooooooo
Naanza kuona dalili ya kupigwa chini mapema...Tulia Babu mambo mazuri hayataki haraka
Mm kama mjukuu wako kitinda mimba sitakiiiii[emoji57][emoji57][emoji57]Huyu si kasema rafiki wa kawaida tu? Ingekuwa rafiki wa kimapenzi ningepita kushoto
Haya fanya hima sasa...
Hivi urafiki unaombwa? Nnachofaham unatokea kutokana na kuendana hulka, mitazamo, vitabu mnavyosoma, nyimbo mnazosikiliza, tabia, mazungumzo n.k.
Naweza nikakuomba urafiki na ukanikubalia lakini tukajikuta tunapokua pamoja hatufurahii maongezi wala hakuna kitu tunafanya kikatufurahisha wote, inakuwa kama kulazimisha muda uende ili kila mtu aendelee na mambo yake.
Jina la mleta mada umelisoma? Babu yako naweza kuambulia ukuu wa mkoa, afu na wewe nikakupigia chapuo ukamate ka ubalozi ka hapo Dubai....Mm kama mjukuu wako kitinda mimba sitakiiiii[emoji57][emoji57][emoji57]
Naanza kuona dalili ya kupigwa chini mapema...
Na hivi huko PM wameshajazana vijana wenzio, babu nshaula wa chuya...
KhaaaaMimi ni babu, uko tayari kuwa rafiki na babu mimi?
Karibu PM tuunde urafiki wa babu na mjukuu...
Jina la mleta mada umelisoma? Babu yako naweza kuambulia ukuu wa mkoa, afu na wewe nikakupigia chapuo ukamate ka ubalozi ka hapo Dubai....
AiseeeNipigie chapuo basi na wewe??
Huoni kama hili ni zali limemdondokea babu yako?
WordHivi urafiki unaombwa? Nnachofaham unatokea kutokana na kuendana hulka, mitazamo, vitabu mnavyosoma, nyimbo mnazosikiliza, tabia, mazungumzo n.k.
Naweza nikakuomba urafiki na ukanikubalia lakini tukajikuta tunapokua pamoja hatufurahii maongezi wala hakuna kitu tunafanya kikatufurahisha wote, inakuwa kama kulazimisha muda uende ili kila mtu aendelee na mambo yake.