Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Oooh kuna kizazi cha facebook mkuu kuandika hivi ni kawaida kabisa.huyu atakuwa wa zamani Mkuu sema kaja na ID mpya tu.
New member hawezi kuwa na confidence ya vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh kuna kizazi cha facebook mkuu kuandika hivi ni kawaida kabisa.huyu atakuwa wa zamani Mkuu sema kaja na ID mpya tu.
New member hawezi kuwa na confidence ya vile.
afuu kizazi hiki ndo kinaingia JF siku hizi.Oooh kuna kizazi cha facebook mkuu kuandika hivi ni kawaida kabisa.
Eeehafuu kizazi hiki ndo kinaingia JF siku hizi.
Rafiki wa faida. Sijaelewa anakuwaje.
Duuh iyo miaka watu wengine mnatutenga sana kwaiyo mnamaanisha watu ambao tuko under 33 tuna Low thinking Capacity au tatizo nini..Habari taifa la Mungu.
Mimi ni jinsia ya Ke, miaka 29, muajiriwa katika Asasi ya kiraia, natafuta rafiki wa faida (friend with benefit)
Awe angalau mrefu, kabila lolote,
Umri miaka 33 na kuendelea,
Awe amejiajiri au ameajiriwa.
Kama upo interested njoo PM tuyajenge huko.
Hahahaha kweli aisee umetoa point moja kubwa sana... Maana wanaume ni wachache duniani alafu bado wanajipunguza wao.ni viumbe wanaopotea kwa kasi ya ajabu
The ID name/user name is two weeks old but the user(person) has been here for the past 4 years.You can't be serious.
You have only two weeks since you joined , then leo unataka friend wa faida.
hiyo confidence umeitoa wapi. .??
by the way me ni shortii and niko at early 20's. hatuwezi Match
Asante. Mi namfaa hata kama/hasa kama haihusishi sex.
- 2 close friends who think it would be fun to have sex with each other again and again. Until 1 falls in love and gets their heart broken when the other doesn't want a relationship.
Source: Urban Dictionary: friends with benefits- A friend with whom one has an occasional and casual sexual relationship.
Kwa maelezo sahihi soma What Does Friends with Benefits Actually Mean?