MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,036
- 737
[emoji15] mume anatafutwa mtandaoni?[emoji13] [emoji23] umenichekesha sanaHuo ni ujanja ujanja wa kutafuta mchumba/mume![emoji1].........ila usihofu utapata!
[emoji15] mume anatafutwa mtandaoni?[emoji13] [emoji23] umenichekesha sana
Natafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70,awe mstaarabu,mkweli,muwazi na mpenda maendeleo. Kama uko tyr ni pm plz[emoji21]
Natafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70,awe mstaarabu,mkweli,muwazi na mpenda maendeleo. Kama uko tyr ni pm plz[emoji21]
Khaaaaaa......,!!Huwa wananoga wa mtandaoni, maana kila kitu cha uongo[emoji23]
Urafiki huo wa KAWAIDA mipaka yake ni ipi ? ..... maana wengine hufikia hatua wanaanza kuvuana nanihiiiiiiiiiiiiNatafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70,awe mstaarabu,mkweli,muwazi na mpenda maendeleo. Kama uko tyr ni pm plz[emoji21]
Kitambo sanaNatafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70, awe mstaarabu, mkweli, muwazi na mpenda maendeleo.
Kama uko tayari ni pm please [emoji21]
Ni pm wewe, nataka kujua km unaweza kunivunjia barafuNatafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70, awe mstaarabu, mkweli, muwazi na mpenda maendeleo.
Kama uko tayari ni pm please [emoji21]