Natafuta rafiki wa kike ambae naweza muoa hapo baadae

Natafuta rafiki wa kike ambae naweza muoa hapo baadae

Maisha ya jf kiutani tani unaweza kupata mke.Hapo kwenye umri mashangazi wengi utawakosa mkuu.

Miaka Fulani nilipata mke kupitia jf japo ndoa yetu haikudumu sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu


Piga moyo konde unaweza ukanyaka jiko .Maisha popote
 
Maisha ya jf kiutani tani unaweza kupata mke.Hapo kwenye umri mashangazi wengi utawakosa mkuu.

Miaka Fulani nilipata mke kupitia jf japo ndoa yetu haikudumu sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu


Piga moyo konde unaweza ukanyaka jiko .Maisha popote
Humu inaonyesha watu umri kilimeta zimesoma sana🤔
 
Nenda mtwara, Pwani au Zanzibar au Muslim University pale moro utapata wazuri tu
 
Mkuu kwa Jf japo unaeza kupata ila daah naona utakua victim, mwanamke akishajua unataka kumuoa she will start to act smart

Its better utafute meanwhile usimuoneshe nia ili umjue ndani na nje

But ni my opinion tu
 
Mkuu kwa Jf japo unaeza kupata ila daah naona utakua victim, mwanamke akishajua unataka kumuoa she will start to act smart

Its better utafute meanwhile usimuoneshe nia ili umjue ndani na nje

But ni my opinion tu

Mke wa mtandaoni kichomi ww acheni kumpotosh kama anata aende kijijinii kwao
 
Mkuu kwa Jf japo unaeza kupata ila daah naona utakua victim, mwanamke akishajua unataka kumuoa she will start to act smart

Its better utafute meanwhile usimuoneshe nia ili umjue ndani na nje

But ni my opinion tu
Asante Kwa ushauri mzuri, nimeupenda
 
Back
Top Bottom