Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooooooo😂😂Hakimi
Ntaedit brazaNdio maana nimemwambia hiyo sifa aiweke ya kwanza maana karibia wote wanaomba but mostly form four failures
Mungu akupe hitaji la moyo wako mkuu...Haha kawaida tu kutagiwa
Nimekutag unipe location za mbeya😂Mungu akupe hitaji la moyo wako mkuu...
Sawa,karibu sana maana vichochoro vyote navifahamuNimekutag unipe location za mbeya😂
Humu inaonyesha watu umri kilimeta zimesoma sana🤔Maisha ya jf kiutani tani unaweza kupata mke.Hapo kwenye umri mashangazi wengi utawakosa mkuu.
Miaka Fulani nilipata mke kupitia jf japo ndoa yetu haikudumu sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu
Piga moyo konde unaweza ukanyaka jiko .Maisha popote
Nimependa reaction yako katika hili✔️Nimerekebisha mkuu, thanks
Kupiga tu Nini?So kipindi hichi unakua unapiga tu?
Nimependa reaction yako katika hili✔️
Mkuu kwa Jf japo unaeza kupata ila daah naona utakua victim, mwanamke akishajua unataka kumuoa she will start to act smart
Its better utafute meanwhile usimuoneshe nia ili umjue ndani na nje
But ni my opinion tu
Asante Kwa ushauri mzuri, nimeupendaMkuu kwa Jf japo unaeza kupata ila daah naona utakua victim, mwanamke akishajua unataka kumuoa she will start to act smart
Its better utafute meanwhile usimuoneshe nia ili umjue ndani na nje
But ni my opinion tu
Nisome tena mkuuMke wa mtandaoni kichomi ww acheni kumpotosh kama anata aende kijijinii kwao
Nisome tena mkuu