natafuta rafiki wa kike kwa kuwasiliana nae

natafuta rafiki wa kike kwa kuwasiliana nae

lara 1 unaitwa huku shosti..........
Habari wana jf mimi mr natafuta mchana wa kuwasili ana nae ili tujuane tusaidiane tupange maisha bora baada ya kujuana kwa dhati ndoa. katika kujuana no entercouse just stories and lelping in our life mengine baada ya ndoa na girl awe muslim nipe email joks sipendi by ngapu give me really eml thank you
 
Last edited by a moderator:
basi umeisha nikosa maana kigezo cha dini tayari kimeisha kua kikwazo
 
Habari wana jf mimi mr natafuta mchana wa kuwasili ana nae ili tujuane tusaidiane tupange maisha bora baada ya kujuana kwa dhati ndoa. katika kujuana no entercouse just stories and lelping in our life mengine baada ya ndoa na girl awe muslim nipe email joks sipendi by ngapu give me really eml thank you
sio entercouse ni intercourse
 
Habari wana jf mimi mr natafuta mchana wa kuwasili ana nae ili tujuane tusaidiane tupange maisha bora baada ya kujuana kwa dhati ndoa. katika kujuana no entercouse just stories and lelping in our life mengine baada ya ndoa na girl awe muslim nipe email joks sipendi by ngapu give me really eml thank you
\

Unajua unapotaka msichana kwa nia hii ni kama unafanya marketing.
Jitahidi kunyoosha kimatumbi chako.
 
Habari wana jf mimi mr natafuta mschana wa kuwasiliana na pia kujuna kwa dhati Baada yahapo tupange mambo ya maisha.my intend is a colleen ili sote tuamini ane katika maisha ya mbele
 
Back
Top Bottom