Natafuta rafiki wa kike, Tabora.

Natafuta rafiki wa kike, Tabora.

rafiki tu hakuna mengine eb acha kutufanya watto si ungeenda fb huko wamejaa
Humu kuna fast reply kuliko fb
Sio mbaya pia mpe company kama uko maeneo ya nzega, igunga au tobora town[emoji2] [emoji2]
 
rafiki tu hakuna mengine eb acha kutufanya watto si ungeenda fb huko wamejaa
Ningeandika "Girl friend" husingekomenti hivi! Tatizo lako ulisoma posting yangu ili ujibu, na siyo ili uelewe. Pole!
 
Download BADOO niamini mm hukosi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom