Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 597
- 549
Habari naitwa Elifuraha Lyimo niko Dar es salaam mimi nna umri wa miaka 30 natafuta rafiki wa kike wa miaka 20-25 ambaye atakuwa mke wangu aliyetayari aje pm ni kwa wanawake tu ahsante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa si bora useme unatafuta mke tuHabari naitwa Elifuraha Lyimo niko Dar es salaam mimi nna umri wa miaka 30 natafuta rafiki wa kike wa miaka 20-25 ambaye atakuwa mke wangu aliyetayari aje pm ni kwa wanawake tu ahsante.
Poa mkuu.sasa si bora useme unatafuta mke tu
Poa nini sasa! Nyoosha maelezo.Poa mkuu.
SawaHabari naitwa Elifuraha Lyimo niko Dar es salaam mimi nna umri wa miaka 30 natafuta rafiki wa kike wa miaka 20-25 ambaye atakuwa mke wangu aliyetayari aje pm ni kwa wanawake tu ahsante.
Maelezo si ndo hayo mkuu.Poa nini sasa! Nyoosha maelezo.
Sema mke au mchumba mkuuHabari naitwa Elifuraha Lyimo niko Dar es salaam mimi nna umri wa miaka 30 natafuta rafiki wa kike wa miaka 20-25 ambaye atakuwa mke wangu aliyetayari aje pm ni kwa wanawake tu ahsante.
Yoyote sababu niko single najitahidi ila upweke unanifanya nakosa mtu wa kushare idea na mambo mengine.Anaweza kuwa rafiki ndo baadaye wife material jumla.Sema mke au mchumba mkuu
Sasa kwann usiende direct kweny mke au unakimbia majukumu😅😅Yoyote sababu niko single najitahidi ila upweke unanifanya nakosa mtu wa kushare idea na mambo mengine.Anaweza kuwa rafiki ndo baadaye wife material jumla.
Hapana ntakimbiaje majukumu mkuu .Sasa kwann usiende direct kweny mke au unakimbia majukumu[emoji28][emoji28]