picha.................HABARI ZENU WANA JF Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 26 natafuta rafiki wa kike sifa zangu 1.mrefu 2.white 3. Nina kifua kipana 4 .nimejazia 5. Siyo bausa 6. Mpole 8. Mcheshi 9. Sijui kukasirika 10.smart boy . Ukiniona mwenyewe utanikubali , nataka rafiki wa kike mwenye sifa zozote
HABARI ZENU WANA JF Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 26 natafuta rafiki wa kike sifa zangu 1.mrefu 2.white 3. Nina kifua kipana 4 .nimejazia 5. Siyo bausa 6. Mpole 8. Mcheshi 9. Sijui kukasirika 10.smart boy . Ukiniona mwenyewe utanikubali , nataka rafiki wa kike mwenye sifa zozote
kwenye rangi hapo ni maeneo gani hasa?
Usiogope!!!!kwenye rangi hapo ni maeneo gani hasa?
Je umejazia tumboni, makalio, au kila sehemu. Maana ukisema umejazia kila sehemu utakuwa mgonjwa, na ukisema umejazia tumboni kifupi unakitambi. Toa maelezo vizuri. vilevile kapicha tunataka tukaone.