Natafuta rafiki wa kike.

Natafuta rafiki wa kike.

Nina dada yangu anatafuta mchumba ngoja nimwambie aku PM
 
Unatafuta rafiki kama rafiki au mpnz wa kusogeza cku au mke???? Manake navyojua mm mke ana patkana kwny nyumba za ibada au kazn yan uwe ni mtu unae mwona mwenendo wake wa tabia ss ww mbona kama cku elewi! Kwan una kilema gan mpaka utafute huku u r not serious mwisho wa cku uta angukia kwa mapaka nyau!

Dubwasha!!
 
mashemeji wangapi sasa nachoooooooka, bora ufungue college ya mashemeji
 
Katika kutafuta mke, au mpenzi hakuna mipaka, wewe ndiye unayeweka mipaka yako unayoijuwa wewe,
 
naona baadhi wanaletaga kejeli kwenye hili jukwaaa kwa kukatsha watu tamaa kwani, nini lengo la hili Jukwaa sometym sio lazma u coment kwenye kila threads ambayo huna cha kukoment,
 
"Mara nyingi watu wenye miji yao, hupenda kuingia jukwaa hili kwa ajiri ya kuumiza walio kwenye procces ya kutafuta wachumba,



wewe umeoa au umeolewa huku unatafuta nini..! siyo kama ubulula na kutojielewa unafanya nn?,



kama vp? huku kuna tution ya bure ya kufundisha namna ya kutumia hili jukwaa.


kila la kheri kaka yangu na amini kwamba utapata mke mwema kutka kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom