Ni PMMimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
hakuna cha kutisha ukweli ndio huo atasaidiwa na vijanaHhmm Shunie.... Wacha kuwatisha Hao wastaafu... Halafu wengine wako fiti huwezi amini.
Ha ha ha ha ha ha.... Mimi nilikwambia kwamba ni super sub... Kustaafu bado Sanahakuna cha kutisha ukweli ndio huo atasaidiwa na vijana
kwan mzee wa kungoa we n mstaafu
Mama mimi baba mdogo wangu anatafuta mke ila yupo single hajawahi kuoa wala kuachwa na mke,je nikuunganishe kwake?Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
haijawah tokea,maini yakazeeka aseeN'gombe hazeeki maini[emoji115]
Lini Nawe Utatafta Kampani?hahahhah mstaafu anatafutwa
mtaani kwenu hawapoMimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi
Hahahah hatari hiiisawa haina shida.. ila hamna kuoana wala kuombana hela....!!!!
au kwangu mi 47Njoo kwangu utakacho nitakupa Nina miaka46
Tuwasiliane mpenzi nipo mimi kwa ajili yako jitahidi kesho kama uko seriousN'gombe hazeeki maini[emoji115]
Mimi ni mwanamke umri miaka 40.. Nina watoto..nahitaji kampani ya mwanaume alie single... Ambae aliachwa na mke au alifiwa, au aliacha mwanamke kwa sababu isiyoweza kuvumilika..awe anajiheshimu..awe mtulivu na kwenye maendeleo na asiwe tegemezi