Natafuta rafiki wa kiume

wewe hutaki vigezo vya elimu awe na degree ngap? na urefu na weupe maana ndo vgezo vyenu hvo
 
Nipo hapa toto la kichaga wala usiangaike kutafuta tena nichek 0782049595
 
Sifa zote ninazo njoo pm chap....
 
Hongera sana kuwa na mawazo yaliyofunguka Mimi Nami nataka watu wa aina yako.Mimi Nina mke na watoto ila naweza kukufarij fani yangu nimesomea sayansi ya Jamii nimeajiliwa ni musukuma wa Bunda Mara nafanyia kazi Busega Simiyu mkoa mpya namba zangu ni 0766940499 karibu sana
 
Dah mkuu umekamia sana.
 
Mkuu naona haja yako kujiongezea Mawazo zaidi na pia umjumlishe na Mkaka uliyekutana nae Jamii Forum.
 
Nipo usijali
 
Unapatikana wapi?
 
Vyuma nini mbona mipost ya kutafuta mabwana imekazana humu..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…