Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

jitambulishe vizuri. urafiki tu lakini. mambo mengine ang'nhaa haa. kama upo fresh mawasliNO Hayooo.
 
naomba upendeleo wako.niangalie kwa jicho la huruma.nina sifa ya kipekee tofauti na wakina tusker bariiiidi na ivuga.sifa yenyewe nikwamba urafiki wetu nitaupa upendeleo wa hali ya juu na kuhakikisha unapanda hadhi kutoka urafiki kwende uchumba hadi ndoa kwa mda mfupi.kizuri zaidi utakua tunda,jiko na kioo changu hivyo sitamani kukukosa.mia
 
me nipo tayari kuwa rafiki yako....naomba contacts zako kwa ma stor zaid
 
urafiki wa jf unatosha zaidi ya hapo labda kama unataka kuliwa tunda
 
mi nilichelewa kuwasilisha ombi ila najua nitapewa kipaumbele cha hali ya juu kwani
bado nilikua najaribu kutafuta vigezo isije ikawa kama kwenye komedi ya jana
 
Ref thread yangu ya kutafuta rafiki leo ndo mwisho wa kUni pm asanteni sana matokeo hapa hapa jamvini

Mie nilipata kigugumizi maana ma-sista wa kileo wanataka kujua kwanza income yako, next is.....
 
bebii mi naona kama wewe ni fisadi wa mapenzi.watu tulituma maombi lakini hadi leo kimya.kama tulikosa mbona huyo shemeji yetu humtangazi hapa kama ulivyo ahidi?mia
 
bebii mi naona kama wewe ni fisadi wa mapenzi.watu tulituma maombi lakini hadi leo kimya.kama tulikosa mbona huyo shemeji yetu humtangazi hapa kama ulivyo ahidi?mia
wewe? mia
 
Back
Top Bottom