Rafikiunatafuta rafiki wa kiume au mpenzi?
Hayo ni mawazo yakoUna chura? Ukiona demu kaja online huko mtaani hana soko
umeulizwa huko je unachurrraaa? watu watiririkeRafiki
Mimi sifugi churaumeulizwa huko je unachurrraaa? watu watiririke
Habari za majukumu, naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake ,awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40. Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati. Njoo DM
Maombi ya rafiki lakini description za rafiki atakiwaye zimekaa kimchumbamchumba hivi..!!Habari za majukumu, naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake ,awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40. Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati. Njoo DM
toa iyo sentensi andika hivi: AWE NA PESAanayejua na kujali