Hawaki
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 757
- 1,055
Duh, kumbe mbili triple zero nao wako sokoni saivi!Kazi imeanza! Ila jitaidi muda unawo unaweza kuyajenga.
Hawa watoto wa mwaka 2000 wanawaharibia Sana na tabia zao za kuwakataa vijana wenzao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, kumbe mbili triple zero nao wako sokoni saivi!Kazi imeanza! Ila jitaidi muda unawo unaweza kuyajenga.
Hawa watoto wa mwaka 2000 wanawaharibia Sana na tabia zao za kuwakataa vijana wenzao.
Hadi urafiki unaweka kigezo cha dini? Funguka mamaHabari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Mimi ndio nimecheka mpaka basi sio kwa Hilo jibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Hili jibu lako limefanya nicheke sana, anyway njoo PM
Binti nyodoz afu wa hivi huwa wanaliwaga vizuri maana wana nyegez tamu.🙅🙅🙅Mimi ndio nimecheka mpaka basi sio kwa Hilo jibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119]
Kwaiyo sisi wafupi hatuna nafasi????Sasa kama unatafuta rafiki kwanini uweke vigezo na uwatenge wengine wasiokuwa na vigezo hivyo
Hapo huna nafasi mkuuD
Kwaiyo sisi wafupi hatuna nafasi????
Huwezi kumpata kwani mcha Mungu hawezi kutaka urafiki bali uchumba na ndoa. Je wewe unamuogopa Mungu na bado unataka upate rafiki na si mume?Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Una ngongingoMimi sifugi chura
Vp dada ushampta??.... If no, allow me to come to ur pm plzHabari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Kijana unataka wazeeHabari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Karibu🙄Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Karibu pm tuyajengeHabari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta tafiki wa kiume mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa pombe wala sigara wala wanawake, awe mkristo. Mwenye elimu walau ya secondary, mfanyakazi serikalini au mashirika.mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu, mng'avu kidogo , mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 30 hadi 40.
Wasifu wangu, mimi nimemaliza chuo ,ni mfanya kazi, field ya Afya.umri wangu ni 29 . Nahitaji rafiki wa Dhati.
Njoo DM
Nimecheka sana dah we ndo tunaendana kwa haya majibu yako hebu ni pm rafiki.Mimi sifugi chura
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sifugi chura