Natafuta rafiki wa kiume

Sasa kama unatafuta rafiki kwanini uweke vigezo na uwatenge wengine wasiokuwa na vigezo hivyo
 
unaomba urafiki kama unaomba kazi maelezo kibao
una msambwabdwa? ok fine
nakuja PM.
 
Vigezo noma huyo unataka mume s3ma ukweli,
Maana kama rafiki vigezo kazi elimu umri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Faith nitafute 0672 966987
 
Je endapo ni mfanyabiashara
Elimu ya secondary
 
Ayiiii ulikuwa wapi? nmetoka kuoa jana tu....
 
Haya wanaume walevi tupite hivi[emoji117]
"no sweti" hatutaki nyodo hili tangazo lako peleka kwenye nyumba za ibada.
Sisi hatuna dhiki
Ngoja viendelee kuumana..watatufuata hadi tunakonywea bia zetu..ni suala la muda tu..
 
Miaka 29 wenzio wana watoto wawili wawili we ndo kwanza unatafuta rafiki. Kwa umri huo ulipaswa kuwa na marafiki 3 ambao ni mumeo na watoto wako 2.

Jua limezama pole sana, tafuta mume wa mtu jibanze au tafuta mstaafu ule nae pension.
Dah Mkuu umemwambia maneno magumu sana..atalia huko aliko na kujiona hana bahati..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…