Natafuta rafiki wa kiume

Kazi imeanza! Ila jitaidi muda unawo unaweza kuyajenga.
Hawa watoto wa mwaka 2000 wanawaharibia Sana na tabia zao za kuwakataa vijana wenzao.
Duh, kumbe mbili triple zero nao wako sokoni saivi!
 
Hadi urafiki unaweka kigezo cha dini? Funguka mama
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Hili jibu lako limefanya nicheke sana, anyway njoo PM
Mimi ndio nimecheka mpaka basi sio kwa Hilo jibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119]
 
Mimi ndio nimecheka mpaka basi sio kwa Hilo jibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119]
Binti nyodoz afu wa hivi huwa wanaliwaga vizuri maana wana nyegez tamu.🙅🙅🙅
 
Njoo DM wangu, njoo! I am 36 single, self employed running a microfinance.
 
Huwezi kumpata kwani mcha Mungu hawezi kutaka urafiki bali uchumba na ndoa. Je wewe unamuogopa Mungu na bado unataka upate rafiki na si mume?
 
Vp dada ushampta??.... If no, allow me to come to ur pm plz
 
Kijana unataka wazee
 
Karibu🙄
 
Karibu pm tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…