Uwa zuri
Senior Member
- Feb 24, 2023
- 104
- 177
- Thread starter
- #41
Kama huna vigezo usihangaike kunichunguza Sanaa kwa maswali,naishi maisha nayopenda siishi maisha ya mtu anayotaka.Ahhh ndio huko huko tu unaelekea ..anyway...sasa mnakosaje hata marafiki??
Mfanya biashara wa namna gani wewe unatafuta marafiki kwenye social networks ..unafanyaje sasa hizo biashara!?
Au hazihusishi interaction na watu?