Kama huna vigezo usihangaike kunichunguza Sanaa kwa maswali,naishi maisha nayopenda siishi maisha ya mtu anayotaka.Ahhh ndio huko huko tu unaelekea ..anyway...sasa mnakosaje hata marafiki??
Mfanya biashara wa namna gani wewe unatafuta marafiki kwenye social networks ..unafanyaje sasa hizo biashara!?
Au hazihusishi interaction na watu?
Ofcz mi vigezo sina na maisha yako uko huru kuishi utakavyo.Kama huna vigezo usihangaike kunichunguza Sanaa kwa maswali,naishi maisha nayopenda siishi maisha ya mtu anayotaka.
Mwenye umri mkubwa, kwa lugha nyingine, aliyejipanga kiuchumiMaswali mengi kwa dada, hauna hela nini
Binti amleeeMwenye umri mkubwa, kwa lugha nyingine, aliyejipanga kiuchumi
Zipo umri umeukataaWe unazo?
Asa kumbe huna vigezo siupite ivi๐๐Ofcz mi vigezo sina na maisha yako uko huru kuishi utakavyo.
Sema najaribu kuwafikirisha wengine maana binafsi hata kama ningekua na vigezo nisingepoteza huo muda wa kucheza mchezo wa kuku kutupiwa punje za mahindi
hilo ndio jibu sahihiAu unatafuta ambao wameshatafuta
Wanasugua sanaMimi sijafata hela,Wala sitaki hela.UKWELI NI KUWA SIVUTIWI WA VIJANA.
Nimekidhi vigezo vyote isipokuwa kwenye kujitegemea. bado naishi kwa baba na mama ila najichanga changa nihame. ila ni mchapakazi kwa vile umesema ni mfanyabiashara basi nitasimamia biahara yetu wakati wewe unapumzika tu. Umri wangu miaka 48.Mimi ni binti wa miaka 27,natafuta rafiki wa kiume.
SIFA NILIZO NAZO.๐
Mimi ni mweupe, mrefu, mwembamba kiasi, elimu ya kawaida, mfanya biashara.
SIFA ZA RAFIKI WA KIUME ANAYE HITAJIKA๐.
(1)Awe mrefu
(2)Rangi yoyote.
(3)Dini awe mkristo au mwislam.
(4)Elimu form four kuendelea.
(5)umri kuanzia miaka 38-55
(6)Awe anajitegemea.
Kama unavigezo ivyo njoo PM na Kama haupo serious usije.
Watoto kuanzia miaka 35,34,33,30,29...kushuka chini jaman siwahitaji, narudia Tena siwahitaji.
Atanileaje, wakati anataka kutumia pesa zangu?Binti amleee
Kukupeti wanaitaAtanileaje, wakati anataka kutumia pesa zangu?
Mliyeokota naye kuni ndio unatakiwa uote naye moto pamoja; hawa wengine ni wasaka fursaKukupeti wanaita
๐๐๐๐ biashara ya nani?Nimekidhi vigezo vyote isipokuwa kwenye kujitegemea. bado naishi kwa baba na mama ila najichanga changa nihame. ila ni mchapakazi kwa vile umesema ni mfanyabiashara basi nitasimamia biahara yetu wakati wewe unapumzika tu. Umri wangu miaka 48.