Uwa zuri
Senior Member
- Feb 24, 2023
- 104
- 177
- Thread starter
- #161
😆😆 Yani nipo huku nacheka,ndio maana unaona kila anaeleta shobo nampa za uso.yaani VIJANA wamepaniki ukute Sasa wanavyojifanyaga kutukana wanawake,mara kataa ndoa.NA WASIKIE TU WATOTO SITAKI,NATAKA WATU WAZIMA.Kwa nini amepanikiii huyu kijana kwani ni kosa kutaka mzee😬😁😁