Natafuta rafiki wa kiume

Natafuta rafiki wa kiume

Status
Not open for further replies.
Kesho nitaanza kuhariri Post za huyu anaetaka rafiki wa kiume zote halafu nitajua kama anataka
1. Rafiki
2. Attention
3. Recognition kwa sababu bado ni new come au amefanya usajili wa Id nyingine
4. Mume
Na mengineyo kesho nitakuja na report yote
Sawa Mkuu umu wengi naona hua ni furahisha genge tu ingawa wapo
wanaomaanisha for real😂😂
 
MTOA mada amezingatia kuweka umri/rika la vijan wenye mafanikio na busura ambao kwa 10,000 had 100,000 sio shda
 
Kesho nitaanza kuhariri Post za huyu anaetaka rafiki wa kiume zote halafu nitajua kama anataka
1. Rafiki
2. Attention
3. Recognition kwa sababu bado ni new come au amefanya usajili wa Id nyingine
4. Mume
Na mengineyo kesho nitakuja na report yote
Aiseee yamekuwa hayo mkuu😁😁
 
Hata nyinyi pia kwa sasa hampendi kuingia kwenye mahusiano na Mwanamke ombaomba ushahidi mada nyingi humu jukwaani mkilalamika.
Sasa humu JF hao wanaopiga kelele si Watoto wa Chuo tu na mabando ya bure? 😂
 
Hata nyinyi pia kwa sasa hampendi kuingia kwenye mahusiano na Mwanamke ombaomba ushahidi mada nyingi humu jukwaani mkilalamika.
Mshahara wangu laki 5 wewe matumizi yako kwa mwezi yanazidi kipato changu na unajua kabisa kipato changu uko c kukomoana kimakusudi! Mtu kama huyo kumkimbia ni sawa kabisa maana ni nyonya damu
 
Huyo Best wako kamzzingua Jamaa PM 😂 😂 😂
Hajazinguliwa mtu Ila vilza wote wamepokea za uso na block juu,kwenye msafara walikuwepo mamba wanaotakiwa ila ajbu kenge na mijusi wakaja Sasa hao nimedili nao vilivyo.Tena wakitaka wafungue uzi ili niwa taje vzuri.Nilisema nahitaji rafiki mtu mzima,haya asa hao wakataa ndoa kilichowaleta pm kuomba huruma n nn?
 
Ubongo wa binadamu ndivyo ulivyoumbwa kuwaza mazuri tu. Hakuna mtu anayewaza kuwa na mateso au kuwa na shida na ndio maana ubongo huwa unakutuma ufanye hiki na kile ili upate kile
Asa uwangaike kuja na ripot yngu hunijui,umeumia Sanaa na hao wazee?,njoo na hio ripoti ila jipange vizur kwa lolote sawaa eeenhhh.Mimi nitakuja na yko ya ukweli kabisaaa.
 
Watoto kuanzia miaka 35,34,33,30,29...kushuka chini jaman siwahitaji, narudia Tena siwahitaji.
Utafika muda utaanza kusema nahitaji anaeweza kupumua tu hapo ndio ushafika jioni na humuoni hata mmoja, nikutakie kila lakheri huko kwenye kubanjuliwa km koroshi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom