Natafuta rafiki wa jinsia yoyote toka mkoa Wa Arusha au popote Tz mwenye ufahamu na madini ya TANZANITE. tuwasiliane kwa emeil redemtusnyanda@yahoo.com. Au simu +265999391596
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Preta saidia
Preta saidia
Hivi yuko wapi.............jana alionekana hewani na leo hayupo...kasafiri nini?
nipo leo nilikuwa manta ndio nimeibukia duniani saa hii....jana vijana walikuwa wanapiga moto ndio maana uliniona hewani
aje tutamsaidia.....lakini awe macho vyupa vinauzwa sana
Upo mama
nipo leo nilikuwa manta ndio nimeibukia duniani saa hii....jana vijana walikuwa wanapiga moto ndio maana uliniona hewani
'I can not vote for the President who doesn't know why his country is so poor'
Hii Nimeipenda :smile-big::smile-big:
Mi nikajua upo yaeda chini ,,,mbona uyo namba yake kama ya malawi?