Natafuta rafiki wa mkoa wa Arusha

Natafuta rafiki wa mkoa wa Arusha

Jamani mwenzenu huyo hata hamkumjibu.....................hamumwonei hata huruma?
 
Hivi yuko wapi.............jana alionekana hewani na leo hayupo...kasafiri nini?

nipo leo nilikuwa manta ndio nimeibukia duniani saa hii....jana vijana walikuwa wanapiga moto ndio maana uliniona hewani
 
nipo leo nilikuwa manta ndio nimeibukia duniani saa hii....jana vijana walikuwa wanapiga moto ndio maana uliniona hewani

Mi nikajua upo yaeda chini ,,,mbona uyo namba yake kama ya malawi?
 


'I can not vote for the President who doesn't know why his country is so poor'


Hii Nimeipenda :smile-big::smile-big:

Sasa utafanyaje mkuu inabidi iwe hivyo ili mtu usionekane JUHA
 
Mi nikajua upo yaeda chini ,,,mbona uyo namba yake kama ya malawi?

halafu wewe uliendaga wapi...au upo NEC siku hizi......teh teh....huyo jamaa nimemshtukia na hiyo namba....kama ya handajega
 
Back
Top Bottom