Natafuta Rafiki

Natafuta Rafiki

ABiClever Junior

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2016
Posts
948
Reaction score
548
Naishi Tanga Jina kamili Abdulqadir Hassan nina miaka 21
nahitaji rafiki Jinsia zote.

Vigezo;-
1.awe mwenye akili ya kushauriana kwenye mazuri
2.asiwe mshari na awe mcheshi yan kutaniana wakati nwengine, asiwe sirias kupitiliza
3.Asiwe wa majivuno kupitiliza
4.miaka 18+.

kama uko ready ukam PM
 
Hii ni post yako ya pili ya kutafuta rafiki.Hujapata tu?
 
Naishi Tanga Jina kamili Abdulqadir Hassan nina miaka 21
nahitaji rafiki Jinsia zote.

Vigezo;-
1.awe mwenye akili ya kushauriana kwenye mazuri
2.asiwe mshari na awe mcheshi yan kutaniana wakati nwengine, asiwe sirias kupitiliza
3.Asiwe wa majivuno kupitiliza
4.miaka
kama uko readyam PM
Njoo pm
 
Kwa nn ujifichefiche? Nenda straight kuwa unataka demu ila kuzunguka ndo kunakuponza. Age izo ni wazi domo gundi na libido za kutosha.
 
Back
Top Bottom