Natafuta ramani nzuri ya kizungu

Natafuta ramani nzuri ya kizungu

Kama huna familia wala ukoo sawa
Ila kinyume na hapo sikushauri.
 
Utajenga nyumba ya kizungu Kama unavyotaka Ila kuishi kizungu kukakushinda. Utashangaa pole pole unaweka jembe sebuleni/nyuma ya mlango.
Nadhani ungeishi kizungu nyumba yoyote itakufaa. Maana uzungu ni utamaduni na sio majengo.
 
 
unataka nyumba ya kizungu ww mzungu?
unaweza kusihi kizungu
upo uzunguni
unayajua mahitaji ya kizungu mpka wanajenga nyumba ndogo
unaweza jenga hyo nyumba ya kizungu ila vitu vikawa out of place kuwa makini kama wazazi wako walitokea nyumba ya tembe na msonge ww dumisha mila usilete uzungu[emoji41]
Punguza negative energy mkuu, sio nzuri kwa afya yako ya akili.
 
Utajenga nyumba ya kizungu Kama unavyotaka Ila kuishi kizungu kukakushinda. Utashangaa pole pole unaweka jembe sebuleni/nyuma ya mlango.
Nadhani ungeishi kizungu nyumba yoyote itakufaa. Maana uzungu ni utamaduni na sio majengo.
Ninayaweza maisha ya kizungu mkuu, wala isikupe shida.
 
0713078949(WhatsApp,Call,Sms)
OLZAA_Photo%20-%2032.jpg
OLZAA_Photo%20-%2034.jpg
OLZA_50%20-%20Photo.jpg
OLZAA_Photo%20-%2033.jpg
OLZAA_40%20-%20Photo.jpg
 
Wakuu wapi nitapata ramani ya nyumba za kizungu.

Nataka kujenga nyumba very simple lakini unique yenye muonekano wa kizungu.

Kama una picha yoyote nisaidie au kama kuna sehemu naweza kuziona nisaidie nikazione either website au page ya insta
Nyumba ya kizungu ndio nyumba gani hiyo? Dah kila kilicho kizuri na cha kisasa tunaita cha kizungu au?
 
Wazungu Wana nyumba kama mabox, hazina mvuto kabisa Kwa njee, interior design yake ni balaa, na wengi hupenda nyumba iwe na nafasi, nje na ndani,
Na pia kuwe na uwanja Kwa nje either wa basketball au football pitch ndogo tu for leasure, ikibidi na kijiko Cha nyama, BBQ, n.k
Kifupi wazungu wanajua design,

Sio sisi nyumba kuubwa nzuur ila Haina kiwanja hata Cha kufagia.
Bustani za kijinga, Packing hakuna, ukirud kutoka job shart muwe wawili kuingiza gari ikae vzr ndani Ili asubuhi iwe rahsi kuondoka.

Nyumba ni nafasi nje na ndani hapo ndo utaskia rah ya nyumba,
 
Wazungu Wana nyumba kama mabox, hazina mvuto kabisa Kwa njee, interior design yake ni balaa, na wengi hupenda nyumba iwe na nafasi, nje na ndani,
Na pia kuwe na uwanja Kwa nje either wa basketball au football pitch ndogo tu for leasure, ikibidi na kijiko Cha nyama, BBQ, n.k
Kifupi wazungu wanajua design,

Sio sisi nyumba kuubwa nzuur ila Haina kiwanja hata Cha kufagia.
Bustani za kijinga, Packing hakuna, ukirud kutoka job shart muwe wawili kuingiza gari ikae vzr ndani Ili asubuhi iwe rahsi kuondoka.

Nyumba ni nafasi nje na ndani hapo ndo utaskia rah ya nyumba,
Wabongo interior ya nyumba zao wanajaza Ma-gypsum kwenye TV showcase na kwenye ceiling board... bila kusahau kuweka mataa taa ya rangi rangi kama za disco kwenye hiyo ceiling board.

Wabongo hawajui color principles.. Unakuta ndani kapaka rangi ya pink au kijani ya parachichi.

Kiufupi, when it comes to Interior...Wabongo ni almost sifuri
 
Wabongo interior ya nyumba zao wanajaza Ma-gypsum kama TV showcase na kwenye ceiling board... bila kusahau kuweka mataa taa ya rangi rangi kama za disco kwenye hiyo ceiling board.

Wabongo hawajui color principles.. Unakuta ndani kapaka rangi ya pink au kijani ya parachichi.

Kiufupi, when it comes to Interior...Wabongo ni almost sifuri
Exactly 💯
 
Back
Top Bottom