Mbongo bila kuweka magypsum kwenye ceiling board na kujaza mataa-taa ya blue, red na yellow kama kama fuso au disco anaona bado hajafanya decor.Wabongo interior ya nyumba zao wanajaza Ma-gypsum kwenye TV showcase na kwenye ceiling board... bila kusahau kuweka mataa taa ya rangi rangi kama za disco kwenye hiyo ceiling board.
Wabongo hawajui color principles.. Unakuta ndani kapaka rangi ya pink au kijani ya parachichi.
Kiufupi, when it comes to Interior...Wabongo ni almost sifuri
Na kinachoshangaza.... ni almost kila mbongo anafanya the same damn thing... ni kama vile wanaigana.
Exposure ni 0% kwa watanzania when it comes to Interior design. Hawajui kitu na hao mafundi wanaowawekea hayo madude ndio hawajui kitu kabisa kuhusu Interior design.