Salam wadau
Natafuta Research Assistants (2), mmoja wa kiume na mmoja wa Kiume wawe na elimu kuanzia kidato cha 6, kwa sasa nipo nje ya nchi natarajia kuwa Dar es Salaam, ndipo nitakapofanyia utafiti wangu... kama upo tayari nitumie CV yako kwenye andreakalima@gmail.com, kutakuwa na usaili wa awali kabla ya kuanza kazi watakaofaulu ndio nitawachukua kwa ajili ya utafiti. Asante
Natafuta Research Assistants (2), mmoja wa kiume na mmoja wa Kiume wawe na elimu kuanzia kidato cha 6, kwa sasa nipo nje ya nchi natarajia kuwa Dar es Salaam, ndipo nitakapofanyia utafiti wangu... kama upo tayari nitumie CV yako kwenye andreakalima@gmail.com, kutakuwa na usaili wa awali kabla ya kuanza kazi watakaofaulu ndio nitawachukua kwa ajili ya utafiti. Asante