sanga misuka
Member
- Aug 24, 2017
- 49
- 61
Mimi nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza nasoma Marketing and Public Relations, pia ni DIGITAL MARKETING SPECIALIST.
mambo ya masoko Mtandaoni, kusimamia na kuendesha accounts za mitandao ya kijamii ikiwamo Kutengeneza Matangazo, Contents, graphic design, matangazo ya kulipia, website, na mambo mengi sana.
Kwa mwenye connection ya kazi na field naombeni, pia nina CV yangu kuhusu Digital Marketing Specialist.
mambo ya masoko Mtandaoni, kusimamia na kuendesha accounts za mitandao ya kijamii ikiwamo Kutengeneza Matangazo, Contents, graphic design, matangazo ya kulipia, website, na mambo mengi sana.
Kwa mwenye connection ya kazi na field naombeni, pia nina CV yangu kuhusu Digital Marketing Specialist.