sanga misuka
Member
- Aug 24, 2017
- 49
- 61
Ubungo Dar es SalaamToa location.
Kumbe unaweza kufanya hata hivyo, na vipi kama nafanya biashara mtandaoni... Na hata hivyo huyo supervisor ndo sina wala simjuiUmesoma marketing unataf8ta sehemu ya kufanya field? Si ukanunue bidhaa uanxe kutembeza mitaani ku market na kuuza na hiyo public relations itakusaidia sana kujenga uhusiano na wateja
Huyo supervisor nwambie utanikuta mitaani nafanya umachinga waulize hata machinations taarifa zangu
Dar es SalaamToa location.
Dae es Salaamuko wapi
Kumbe duh, lakini si Kwaajili ya marks za kozi tu, au zile za kulipwa huko ndo za kulipia kuzipatahumu huto pata ndugu yangu....field siku hizi imekuwa bidhaa jiandae kuilipia...!
Si useme tu unasoma NIT sheikhUbungo Dar es Salaam
Pole, Mbeya nafasi ya field ipo na pangekufaa kwasababu panashabihana na mambo yako.Ubungo Dar es Salaam
Duh Changamoto ndio hivyo nipo darPole, Mbeya nafasi ya field ipo na pangekufaa kwasababu panashabihana na mambo yako.
Kwahiyo JF ulijiunga ukiwa 4m 1? Wee em kuwa serious
Sio 4m1 ni 2017Kwahiyo JF ulijiunga ukiwa 4m 1? Wee em kuwa serious khaaaah.
Swali langu umelielewaa?Sio 4m1 ni 2017
Persuasion and Networking skills nilisoma 1987 wakati najifunza kuhusu entrepreneurial competences, yaani sifa za mjasiriamali, I like breaking the ice yaani namna ya kuvunja barafuUmesoma marketing unataf8ta sehemu ya kufanya field? Si ukanunue bidhaa uanxe kutembeza mitaani ku market na kuuza na hiyo public relations itakusaidia sana kujenga uhusiano na wateja
Huyo supervisor nwambie utanikuta mitaani nafanya umachinga waulize hata machinations taarifa zangu
Je kuvunja barafu unajua, do you know how to break the iceMimi nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza nasoma Marketing and Public Relations, pia ni DIGITAL MARKETING SPECIALIST.
mambo ya masoko Mtandaoni, kusimamia na kuendesha accounts za mitandao ya kijamii ikiwamo Kutengeneza Matangazo, Contents, graphic design, matangazo ya kulipia, website, na mambo mengi sana.
Kwa mwenye connection ya kazi na field naombeni, pia nina CV yangu kuhusu Digital Marketing Specialist.
Kampuni gani? Au wapi?Pole, Mbeya nafasi ya field ipo na pangekufaa kwasababu panashabihana na mambo yako.