Natafuta sehemu ya kujitolea katika muda wa ziada. Fani ni IT pamoja na sehemu za mafundi wa PC na simu

Natafuta sehemu ya kujitolea katika muda wa ziada. Fani ni IT pamoja na sehemu za mafundi wa PC na simu

Mr mussa

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
296
Reaction score
456
Kwanza naomba niwape pole kwa mapambano ya kila siku kuhakikisha maisha yanaenda.

Mimi ni mwanafunzi wa Degree chuo kimojawapo hapa Dar katika course ya IT.

Katika maisha kila mtu anakuwa na lengo lake kuwa baada ya muda fulani nataka kuwa katika level hii ya maisha.

Personally naomba msaada kwa wale wenye ofisi, kampuni au mtu binafsi ambaye anahitaji mtu wa IT katika muda wa ziada.

Kama nilivyosema hapo awali, mimi ni mwanafunzi ila napenda sana kujifunza ukiacha na maisha ya chuo nataka kuishi uhalisia wa maisha katika hii fani yangu.

Najua wanaojihusisha na haya mambo katika hili jukwaa ni wengi. Lengo kubwa ni kupata uzoefu ili baada ya kumaliza chuo ni niwe na sehemu ya kuanzia naamini kama nitapata sehemu hakika ujuzi wangu na uzoefu utaongezeka.

Any way IT ni pana hivyo basi mimi naweza au najua kufanya vitu vifutavyo:

- Graphic design kutengeneza (logo, flayers, brochures, business cards etc).

- Networking: creating network and network administration.

- Programming hapa najua language hizi c++, Java, JavaScript, PHP bila kusahau mark up languages html na css.

- Website development hapa ninaujuzi wa kutengeneza website kwa kiasi fulani kupitia lugha za hapo juu.

Furthermore ufundi wa computer na simu
- Computer repair and maintenance on software and hardware.

- Phone repair and maintenance on software and hardware.

Hapa wale ndugu zangu mafundi simu nipo tayari kupata ujuzi kutoka kwenu sababu mimi nimejifunza mwenyewe ndio maana naona ni muda sahihi wa kuanza kufanya kazi ya mtu.

Wapo watakaosema kwanini nitafute msaada kama najua vitu si bora nifungue ofisi au niombe kazi.

Ndugu zangu binafsi naona hii ni njia sahihi ya mimi kupata uzoefu pia huku nikijipanga kuhusu mtaji ili nikimaliza chuo nijue wapi nitaanzia.

Kuhusu malipo:

Nimekuja kuomba msaada sihitaji malipo. Lengo langu ni kupata uzoefu ila kama utaona unilipe nayo ni nzuri japo sio priority kwangu.

Jamani naombeni msaada wenu kwa wale watu wenye ofisi, kampuni, mtu binafsi na wale ndugu zangu mafundi simu na PC.

Please kama unaweza nisaidia kindly njoo PM.

Ahsanteni na kila la kheri kwenye mapambano ya hivi vita vya maisha.
 
Fungua kijiwe chako ajiri na kijana mwingine atakaekaa hapo fultime, salary iwe ni % ya kazi zinazokuja, kujitolea kwa kozi kama yako ni kupoteza muda.
 
Fungua kijiwe chako ajiri na kijana mwingine atakaekaa hapo fultime, salary iwe ni % ya kazi zinazokuja, kujitolea kwa kozi kama yako ni kupoteza muda.
Thanks kiongozi ila Hili Ni lengo langu baada ya mda furani kwa mda huu nataka kupata experience na kujifunza kwa wengine
 
Kwanza naomba niwape pole kwa mapambano ya kila siku kuhakikisha maisha yanaenda.

Mimi ni mwanafunzi wa Degree chuo kimojawapo hapa Dar katika course ya IT.

Katika maisha kila mtu anakuwa na lengo lake kuwa baada ya muda fulani nataka kuwa katika level hii ya maisha.

Personally naomba msaada kwa wale wenye ofisi, kampuni au mtu binafsi ambaye anahitaji mtu wa IT katika muda wa ziada.

Kama nilivyosema hapo awali, mimi ni mwanafunzi ila napenda sana kujifunza ukiacha na maisha ya chuo nataka kuishi uhalisia wa maisha katika hii fani yangu.

Najua wanaojihusisha na haya mambo katika hili jukwaa ni wengi. Lengo kubwa ni kupata uzoefu ili baada ya kumaliza chuo ni niwe na sehemu ya kuanzia naamini kama nitapata sehemu hakika ujuzi wangu na uzoefu utaongezeka.

Any way IT ni pana hivyo basi mimi naweza au najua kufanya vitu vifutavyo:

- Graphic design kutengeneza (logo, flayers, brochures, business cards etc).

- Networking: creating network and network administration.

- Programming hapa najua language hizi c++, Java, JavaScript, PHP bila kusahau mark up languages html na css.

- Website development hapa ninaujuzi wa kutengeneza website kwa kiasi fulani kupitia lugha za hapo juu.

Furthermore ufundi wa computer na simu
- Computer repair and maintenance on software and hardware.

- Phone repair and maintenance on software and hardware.

Hapa wale ndugu zangu mafundi simu nipo tayari kupata ujuzi kutoka kwenu sababu mimi nimejifunza mwenyewe ndio maana naona ni muda sahihi wa kuanza kufanya kazi ya mtu.

Wapo watakaosema kwanini nitafute msaada kama najua vitu si bora nifungue ofisi au niombe kazi.

Ndugu zangu binafsi naona hii ni njia sahihi ya mimi kupata uzoefu pia huku nikijipanga kuhusu mtaji ili nikimaliza chuo nijue wapi nitaanzia.

Kuhusu malipo:

Nimekuja kuomba msaada sihitaji malipo. Lengo langu ni kupata uzoefu ila kama utaona unilipe nayo ni nzuri japo sio priority kwangu.

Jamani naombeni msaada wenu kwa wale watu wenye ofisi, kampuni, mtu binafsi na wale ndugu zangu mafundi simu na PC.

Please kama unaweza nisaidia kindly njoo PM.

Ahsanteni na kila la kheri kwenye mapambano ya hivi vita vya maisha.

Wewe ni muongo katika hizo programming languages ukose kitu cha kufanyia kweli hadi utafute sehemu ya kuomba kujishikiza?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe ni muongo katika hizo programming languages ukose kitu cha kufanyia kweli hadi utafute sehemu ya kuomba kujishikiza?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Anatafuta uzoefu.... Hatafuti kazi..
 
Sawa kabisa kama kweli anazijua programming languages hapo tajwa anaweza tengeneza product yake akawa anatafuta uzoefu kupitia hiyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Labda anataka uzoefu potepote sababu hata hilo unalosemea sio jambo jepesi saaana.
 
Safi sana kwa kutamka neno " kujitolea" watanzania baadhi yetu tunawaza mkwanja wa haraka haraka bila kupoteza muda, huwa nashangaa sana sijui tunakimbilia wapi? Tujifunze kutengeneza msingi imara kwanza kabla tujaanza kuhesabu faida. Soko la sasa linataka mawazo mapya na endelevu kila kukicha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni muongo katika hizo programming languages ukose kitu cha kufanyia kweli hadi utafute sehemu ya kuomba kujishikiza?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapana kiongozi sijadanganya Kama umesoma vizuri nimeandika hapo kwa Sasa nipo chuo Sina mda wa kutosha kutafuta ajira mm nataka kuongeza ujuzi.

Kujua programming language haimaanishi naweza fanya project kubwa pia hizi language nimejifunza mwenyewe bila kuwa na mtu wa kubadishana mawazo naamini nikipata sehemu ya kujitolea nitaongeza experience na pia kutoa ushauri wangu Nini ninacho.

Naamini katika kufanya kazi as a team nimejifunza Sana pekeangu huu Ni mda wa kushare na wenzangu. Thanks
 
Safi sana kwa kutamka neno " kujitolea" watanzania baadhi yetu tunawaza mkwanja wa haraka haraka bila kupoteza muda, huwa nashangaa sana sijui tunakimbilia wapi? Tujifunze kutengeneza msingi imara kwanza kabla tujaanza kuhesabu faida. Soko la sasa linataka mawazo mapya na endelevu kila kukicha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Kabisa mkuu Huwezi kuwa na value Kama huna knowledge ya kutosha. Experience na skills katika fani husika ndio kila kitu ili kuongeza thamani ya mtu katika kazi
 
Kwanza naomba niwape pole kwa mapambano ya kila siku kuhakikisha maisha yanaenda.

Mimi ni mwanafunzi wa Degree chuo kimojawapo hapa Dar katika course ya IT.

Katika maisha kila mtu anakuwa na lengo lake kuwa baada ya muda fulani nataka kuwa katika level hii ya maisha.

Personally naomba msaada kwa wale wenye ofisi, kampuni au mtu binafsi ambaye anahitaji mtu wa IT katika muda wa ziada.

Kama nilivyosema hapo awali, mimi ni mwanafunzi ila napenda sana kujifunza ukiacha na maisha ya chuo nataka kuishi uhalisia wa maisha katika hii fani yangu.

Najua wanaojihusisha na haya mambo katika hili jukwaa ni wengi. Lengo kubwa ni kupata uzoefu ili baada ya kumaliza chuo ni niwe na sehemu ya kuanzia naamini kama nitapata sehemu hakika ujuzi wangu na uzoefu utaongezeka.

Any way IT ni pana hivyo basi mimi naweza au najua kufanya vitu vifutavyo:

- Graphic design kutengeneza (logo, flayers, brochures, business cards etc).

- Networking: creating network and network administration.

- Programming hapa najua language hizi c++, Java, JavaScript, PHP bila kusahau mark up languages html na css.

- Website development hapa ninaujuzi wa kutengeneza website kwa kiasi fulani kupitia lugha za hapo juu.

Furthermore ufundi wa computer na simu
- Computer repair and maintenance on software and hardware.

- Phone repair and maintenance on software and hardware.

Hapa wale ndugu zangu mafundi simu nipo tayari kupata ujuzi kutoka kwenu sababu mimi nimejifunza mwenyewe ndio maana naona ni muda sahihi wa kuanza kufanya kazi ya mtu.

Wapo watakaosema kwanini nitafute msaada kama najua vitu si bora nifungue ofisi au niombe kazi.

Ndugu zangu binafsi naona hii ni njia sahihi ya mimi kupata uzoefu pia huku nikijipanga kuhusu mtaji ili nikimaliza chuo nijue wapi nitaanzia.

Kuhusu malipo:

Nimekuja kuomba msaada sihitaji malipo. Lengo langu ni kupata uzoefu ila kama utaona unilipe nayo ni nzuri japo sio priority kwangu.

Jamani naombeni msaada wenu kwa wale watu wenye ofisi, kampuni, mtu binafsi na wale ndugu zangu mafundi simu na PC.

Please kama unaweza nisaidia kindly njoo PM.

Ahsanteni na kila la kheri kwenye mapambano ya hivi vita vya maisha.
Kama uko vizur kwny programming anza hapo utapata uzoef sana na kujifunza mengi practically anzisha mprogram yako overal nina wazo konki sana la mobile app development sijui wasomi kwa nn mnafikiria kwny mtazamo wakuajiriwa mm natamani nigekuwa najua kupiga kodi ningekuwa na li app langu likubwa huko duniani lina trend app store na play store. Dunia sasa inazidi kuhamia digital. kwa kasi sana kwny kila kitu this generation and the next generation billionears watakuwa mobile developers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uko vizur kwny programming anza hapo utapata uzoef sana na kujifunza mengi practically anzisha mprogram yako overal nina wazo konki sana la mobile app development sijui wasomi kwa nn mnafikiria kwny mtazamo wakuajiriwa mm natamani nigekuwa najua kupiga kodi ningekuwa na li app langu likubwa huko duniani lina trend app store na play store. Dunia sasa inazidi kuhamia digital. kwa kasi sana kwny kila kitu this generation and the next generation billionears watakuwa mobile developers

Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu napambana kila siku kuifanya kesho iwe Bora zaidi. Nataka after one year niwe level nyingine sio hapa nilipo
 
Nimeona umeweka Profesional zaidi ya tatu hapo kama sijakosea. Ni kweli IT ni uwanja mpana sana, ila haina maana ni lazima kucheza wote.
Ushauri wangu kwako, chagua fani moja ambayo utabobea. Nikisema kubobea namaanisha ujue haswa haswa, kama ni programmer basi ujue language nyingi akina Java, python etc.. Kama ni Graphic Designer basi ujue design haswa.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona umeweka Profesional zaidi ya tatu hapo kama sijakosea. Ni kweli IT ni uwanja mpana sana, ila haina maana ni lazima kucheza wote.
Ushauri wangu kwako, chagua fani moja ambayo utabobea. Nikisema kubobea namaanisha ujue haswa haswa, kama ni programmer basi ujue language nyingi akina Java, python etc.. Kama ni Graphic Designer basi ujue design haswa.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukurani mkuu nitafanya hivyo
 
Kama upo, na ujuzi ulioandika ni kweli unao basi acha kupoteza muda kutafuta sehemu ya kujitolea.

Tengeneza projects zako mwenyewe na ujifunze jinsi ya kufanya marketing.

Jipe muda wa miaka miwili kuipromote product yako bila kuchoka mpaka siku ukimaliza chuo hiyo product itakuwa na watymiaji wengi, watumiaji wengi inamaanisha pia unaweza kuingiza chochote kitu.

Utakavyofanya projects zako ndio utakutana na challenges tu nyingi ambazo zitakufanya ujifunze mengine ambayo chuo hufundishwi.

Naweza kukwambia mengi kama developer ila niishie tu kwa kukwambia, ukitegemea kufanya projects zako badala ya kumaliza chuo itakupa changamoto mno.

Kwa sababu
1. Utakuwa na msongo wa mawazo ya kutafuta pesa huku hakuna ajira.

2. Project za it huwa zinachukuwa muda mpaka upate watumiaji lakini pia inaweza isikulipe kabisa.

3. Ukishifikwa na hayo mawili juu, utaanza kufikiria shughuli zingine kabisa ambazo hazihusiani na tehama, yaani shughuli ambazo asiye soma ndo anafanya(umepoteza muda na shule).

Kama kuna uwezekano anza sasa, achana vile viproject vya chuo, inabidi uutafiti kupata ideas zenye demand na kuziundia aidha apps au website.
 
Kama upo, na ujuzi ulioandika ni kweli unao basi acha kupoteza muda kutafuta sehemu ya kujitolea.

Tengeneza projects zako mwenyewe na ujifunze jinsi ya kufanya marketing.

Jipe muda wa miaka miwili kuipromote product yako bila kuchoka mpaka siku ukimaliza chuo hiyo product itakuwa na watymiaji wengi, watumiaji wengi inamaanisha pia unaweza kuingiza chochote kitu.

Utakavyofanya projects zako ndio utakutana na challenges tu nyingi ambazo zitakufanya ujifunze mengine ambayo chuo hufundishwi.

Naweza kukwambia mengi kama developer ila niishie tu kwa kukwambia, ukitegemea kufanya projects zako badala ya kumaliza chuo itakupa changamoto mno.

Kwa sababu
1. Utakuwa na msongo wa mawazo ya kutafuta pesa huku hakuna ajira.

2. Project za it huwa zinachukuwa muda mpaka upate watumiaji lakini pia inaweza isikulipe kabisa.

3. Ukishifikwa na hayo mawili juu, utaanza kufikiria shughuli zingine kabisa ambazo hazihusiani na tehama, yaani shughuli ambazo asiye soma ndo anafanya(umepoteza muda na shule).

Kama kuna uwezekano anza sasa, achana vile viproject vya chuo, inabidi uutafiti kupata ideas zenye demand na kuziundia aidha apps au website.


Shukurani Sana boss umeandika ukweli mtupu Hayo Mambo uliyoyandika huwa nawaza Sana what's next after graduating.

Nafikiria baada ya kumaliza chuo nitafanya Nini je nitatumia ujuzi wangu kuingiza pesa kwa kujiajiri au nitaajiriwa.

Lengo langu nilitaka kupata nafasi ya kujitolea katika vitu hivyo ili niweze kuwa competent Kabisa kusema kwamba baada ya kumaliza chuo nakuwa najua naenda kufanya nini

Sifikirii kuajiriwa nataka nikimaliza nijiajiri sipendi kupoteza mda wa miaka mitatu then namiliza chuo naenda kufanya vitu visivyohusu IT. Japo inaweza kutokea ila napambana kutengeneza msingi mzuri nisije juta baadae

Ushauri wako wa kutengeneza project Ni mzuri huwa nafikiria nitengeneza project gani?? Mawazo Ni mengi Sana ila naamini mambo yatakaa sawa shukurani mkuu nitayafanyia kazi mawazo yako
 
Back
Top Bottom