Mr mussa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 296
- 456
Kwanza naomba niwape pole kwa mapambano ya kila siku kuhakikisha maisha yanaenda.
Mimi ni mwanafunzi wa Degree chuo kimojawapo hapa Dar katika course ya IT.
Katika maisha kila mtu anakuwa na lengo lake kuwa baada ya muda fulani nataka kuwa katika level hii ya maisha.
Personally naomba msaada kwa wale wenye ofisi, kampuni au mtu binafsi ambaye anahitaji mtu wa IT katika muda wa ziada.
Kama nilivyosema hapo awali, mimi ni mwanafunzi ila napenda sana kujifunza ukiacha na maisha ya chuo nataka kuishi uhalisia wa maisha katika hii fani yangu.
Najua wanaojihusisha na haya mambo katika hili jukwaa ni wengi. Lengo kubwa ni kupata uzoefu ili baada ya kumaliza chuo ni niwe na sehemu ya kuanzia naamini kama nitapata sehemu hakika ujuzi wangu na uzoefu utaongezeka.
Any way IT ni pana hivyo basi mimi naweza au najua kufanya vitu vifutavyo:
- Graphic design kutengeneza (logo, flayers, brochures, business cards etc).
- Networking: creating network and network administration.
- Programming hapa najua language hizi c++, Java, JavaScript, PHP bila kusahau mark up languages html na css.
- Website development hapa ninaujuzi wa kutengeneza website kwa kiasi fulani kupitia lugha za hapo juu.
Furthermore ufundi wa computer na simu
- Computer repair and maintenance on software and hardware.
- Phone repair and maintenance on software and hardware.
Hapa wale ndugu zangu mafundi simu nipo tayari kupata ujuzi kutoka kwenu sababu mimi nimejifunza mwenyewe ndio maana naona ni muda sahihi wa kuanza kufanya kazi ya mtu.
Wapo watakaosema kwanini nitafute msaada kama najua vitu si bora nifungue ofisi au niombe kazi.
Ndugu zangu binafsi naona hii ni njia sahihi ya mimi kupata uzoefu pia huku nikijipanga kuhusu mtaji ili nikimaliza chuo nijue wapi nitaanzia.
Kuhusu malipo:
Nimekuja kuomba msaada sihitaji malipo. Lengo langu ni kupata uzoefu ila kama utaona unilipe nayo ni nzuri japo sio priority kwangu.
Jamani naombeni msaada wenu kwa wale watu wenye ofisi, kampuni, mtu binafsi na wale ndugu zangu mafundi simu na PC.
Please kama unaweza nisaidia kindly njoo PM.
Ahsanteni na kila la kheri kwenye mapambano ya hivi vita vya maisha.
Mimi ni mwanafunzi wa Degree chuo kimojawapo hapa Dar katika course ya IT.
Katika maisha kila mtu anakuwa na lengo lake kuwa baada ya muda fulani nataka kuwa katika level hii ya maisha.
Personally naomba msaada kwa wale wenye ofisi, kampuni au mtu binafsi ambaye anahitaji mtu wa IT katika muda wa ziada.
Kama nilivyosema hapo awali, mimi ni mwanafunzi ila napenda sana kujifunza ukiacha na maisha ya chuo nataka kuishi uhalisia wa maisha katika hii fani yangu.
Najua wanaojihusisha na haya mambo katika hili jukwaa ni wengi. Lengo kubwa ni kupata uzoefu ili baada ya kumaliza chuo ni niwe na sehemu ya kuanzia naamini kama nitapata sehemu hakika ujuzi wangu na uzoefu utaongezeka.
Any way IT ni pana hivyo basi mimi naweza au najua kufanya vitu vifutavyo:
- Graphic design kutengeneza (logo, flayers, brochures, business cards etc).
- Networking: creating network and network administration.
- Programming hapa najua language hizi c++, Java, JavaScript, PHP bila kusahau mark up languages html na css.
- Website development hapa ninaujuzi wa kutengeneza website kwa kiasi fulani kupitia lugha za hapo juu.
Furthermore ufundi wa computer na simu
- Computer repair and maintenance on software and hardware.
- Phone repair and maintenance on software and hardware.
Hapa wale ndugu zangu mafundi simu nipo tayari kupata ujuzi kutoka kwenu sababu mimi nimejifunza mwenyewe ndio maana naona ni muda sahihi wa kuanza kufanya kazi ya mtu.
Wapo watakaosema kwanini nitafute msaada kama najua vitu si bora nifungue ofisi au niombe kazi.
Ndugu zangu binafsi naona hii ni njia sahihi ya mimi kupata uzoefu pia huku nikijipanga kuhusu mtaji ili nikimaliza chuo nijue wapi nitaanzia.
Kuhusu malipo:
Nimekuja kuomba msaada sihitaji malipo. Lengo langu ni kupata uzoefu ila kama utaona unilipe nayo ni nzuri japo sio priority kwangu.
Jamani naombeni msaada wenu kwa wale watu wenye ofisi, kampuni, mtu binafsi na wale ndugu zangu mafundi simu na PC.
Please kama unaweza nisaidia kindly njoo PM.
Ahsanteni na kila la kheri kwenye mapambano ya hivi vita vya maisha.