Kuna sehemu inaitwa Ziro!Tajeni kuanzia club kali kali, sehemu zenye swimming pools etc
HahahahahaIpo Tabora sehemu gani?
Kiingilio?
Mademu?
Nenda Belmonte au Orion, panapochangamka ni o2Tajeni kuanzia club kali kali, sehemu zenye swimming pools etc
Duhh, ipo karibu na polisi. Hakuna kiingilio ila mademu yanajiegeshaIpo Tabora sehemu gani?
Kiingilio?
Mademu?
Hili sio jukwaa lake mkuu,.. Maana sehemu za bata ni kwenye matangazo madogo utapata wafugaji kule.
Mkuu shimoni sio mzee baba oxygen hapo mambo bien au belmonte kuleee kama yoote hivi ila kwa ss pako dolo watt wa tpsc wapo makwao wengine kwa akina nanii.Tabora sehemu za bata nilizotajiwa ni hizi Oxygen, Shimoni lakini zote nimeziona za kawaida sana , sasa wenyeji nitajieni sehemu za bata kwa huku tabora.
Mkuu pamepoa sanaa....na sio km ya kipind kilee.Shimoni sio kwa nini?