Mtu anayeulizia sehemu ya bata hasa katika jukwaa hili la kitaifa hawezi kuulizia kiingilio. Wewe ni mlugaluga wa wapi?Zipo wapi na kiingilio na mademu vipi?
Pumbafuuuuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sehemu za bata ni kwenye madimbwi
Mkuu me sijakusoma vizuri, yaani unamaanisha unatafuata wale bata wa kufuga nyumbani, au wale bata mzinga wa porini?Tabora sehemu za bata nilizotajiwa ni hizi Oxygen, Shimoni lakini zote nimeziona za kawaida sana , sasa wenyeji nitajieni sehemu za bata kwa huku tabora.
hahaha....Fanya kazi sio kuwaza bata uku ndugu zako wanakufa njaa hasa wazazi wako
Asa ivi mtoa mada anasaka Ada ya chuo, naskia aliimaliza taboraFanya kazi sio kuwaza bata uku ndugu zako wanakufa njaa hasa wazazi wako
manengelo umeshamsaidia ada afanye UE?
Hivi ungekuwa nayo ungemchangia mzee wa matanuzi ya Tabora?sina hata mia mkuu..hapa naandkka na mm uzi wa kuchangiwa nauli...nimepata matatizo kidg..
Mi sijaelewa. Kwani kaona wivu wewe kupewa msaada au kaonea wivu jaribio lako la kutaka kutapeli?Hilo nililijua tangu awali.
Hakuna anayejiweza kifedha akaona wivu mtu akipewa msaada, wenye tabia hii ni maskini wenzetu.
Hiyo hela aitoe wapi mkuu?ungespecific kabisa useme sehem zenye malaya
Hilo nililijua tangu awali.
Hakuna anayejiweza kifedha akaona wivu mtu akipewa msaada, wenye tabia hii ni maskini wenzetu.
Na hela zimeisha!Mwaka mmija exactly umeisha kwa bata
Hivi ungekuwa nayo ungemchangia mzee wa matanuzi ya Tabora?