Natafuta serious girl friend

Natafuta serious girl friend

Tumia mbinu za kimila.
Chunguza wazazi wake, wajomba, mashagazi, madada. makaka n.k.
Ukikuta ukoo huo umetulia yaana ni wasomi wazuri, wachapa kazi, si walevi, hawana magonjwa ya kurithi, si washirikina n.k basi hamna shaka binti utakayeoa atakufaa.
 
Petra si very beautiful.. mchek privately
 
kaka nakushauri ujaribu kutangaza nia yako kwenye sura ya kitabu (facebook) utapata haraka sana.
 
Wewe mbona hujaweka wasifu wako? Je una mtarimbo wenye urefu wa inchi ngapi? Umetahiriwa au bado? Wewe ni bikira au used?? Weka data zako hapa upate wa kukufaa!
 
Awe mrefu wastani, elimu kuanzia form six, age asiwe zaidi ya 24years, rangi yoyote, asiwe mnene, awe mcha Mungu. Mwenye sifa hizi aniPM tafadhali au anicheck kwa email lushe2010@yahoo.com

Asanteni
Dada yangu anazo hizo sifa zote unazozitaka na ni mcha mungu swala tano na mpaka sigida hanayo je anakufaa?
 
Bado bila bila jamani duh mie nina gundu gani au umasikini??

ha ha ha haaaa! Sikucheki ila nimejikuta tu nafurahi. Ha ha ha haaa......lol! El Toro bana..., subira yavuta heri, atafutae hachoki yakhe!
 
wa humu huwa ni wagumu! Naona facebook huwa wanaingia line haraka.
 
Back
Top Bottom