Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania




Mkuu, mimi naona unatafuta njia ya kubadilisha mjadala tu, kwani mjadala mkuu ni uharamu na madhara ya kula nyama ya nguruwe basi.

Nashangaa umeugeuza huu mjadala kuwa mahakama ya kuhukumu makosa,.sasa kama nilitenda au sijatenda au wewe kufanya au kutofanya hayo makosa hiyo inabatilisha vipi uharamu wa kula nyama ya nguruwe ??--- ukweli utabaki palepale kwamba Mungu katukataza kula nyama ya nguruwe kwa sababu inayo madhara mabaya kwetu ("acute diverse effects"). na moja ya madhara ni kuambukizwa "USHOGA" homo-sexuality kwa wanaume.
 
nimefuga nguruwe kwa miaka kadhaa maeneo ya songea peramiho sehemu ambayo pumba bei zake ni za wastani..... lakn imekuwa ngumu kuiona faida .ukiwa unajitaidi kufuga ndani ya mda mfupi maana ake inabdi usitegemee pumba tu.
ili nguruwe akue kwa kasi lazma uwe na mashudu, pig mixture na virutubisho vingine plus ivyo vyote maana ake unaongeza production cost. kwa experience yangu unaweza uza nguruwe wa kilo 80 kwa ndani ya mwaka. hapo huyo nguruwe asisumbuliwe na magonjwa yoyote yaani uwe makini na tiba hasa za minyooo. ukiteteleka kidogo nikaz sana kuendelea na kasi ile ile ya ukuaji.

hawa nguruwe wapo wa aina tofauti kuna walio na nyama nyingi na wengine mafuta mengi, wanyama nyingi mara nyingi hawa nenepi zana wanakuwa na unene wa wastani. huku kwetu nguruwe aina fulani hv ambao wanakuwa na rangi nyeusi na nyeupe nmara nyingi kichwani nyeusi na mgongoni nyeupe na mgongoni kwenda miguuni weusi hawa wana wananyama nyingi lakin wana kuwa taratibu,
nguruwe hupenda zaidi pumba za mahindi kuliko za mpunga (za mpunga ni ngumu katika mmeng'enyo ) sasa kuna vitu inabidi ukaechini uwe pnge vzuri zaidi nichakula ambacho ni beei zake upnda mara kwa mara hasa maindi yanapo patikana kwa shida. pumba hutumika karibia na wanyama wote wa fugwao.
kwa ushauri wangu ni vizuri ukapata chakula mbadala cha kuliko kutegemea pumba hasa maeneo ya mjini
 
Unaelewa maana ya "Uraibu"??--- hili ni neno halisi la kiarabu lenye maana ya kiingereza "addiction"--- sasa, hiyo pombe uliyojihalalishia haina uraibu?!!.
Hebu toen ujinga wenu hapa, anzishen thread yenu mjadili haya
 
Hebu toen ujinga wenu hapa, anzishen thread yenu mjadili haya
Ahsante Kwa kuliona hili. Huyu jamaa Kwa kweli ameamua ku-introdcuce noises humu. Naunga mkono hoja yako, nashauri akafungue thread mpya kuhusu hoja zake.
 
hahqhaa am sorry my dear nimekupa dislike..Mie Nguruwe naiona ni zaidi ya Kharamu...siwez...uwii..bora niuze hata bangi aisee.ila sio nguruwe.kwanA hapa nimesisimkaaa😐😐!

Mkuu mimi nikiwa vizuri mfukoni na sina visafari nawekaga bili ya mwezi mahali .

Mimi siwezi acha kula nguruwe.
 

Kaka binafsi nakusifu kwa uthubutu na utayari,
Umeelezea vizuri na kwa kifupi,
Nakutakia kila la kheri Bila shaka utapata mdau sahihi wa kukamilisha hili.
 
Mkuu mimi nikiwa vizuri mfukoni na sina visafari nawekaga bili ya mwezi mahali .

Mimi siwezi acha kula nguruwe.


Hahahaha so. daily unakula kitimoto..dah..mm ananitia kinyaa..mm jaman niitie mbuzi ht km 20kms nakujà😁😁..napenda balaa mbuzi jaman..khaa!
 
Hahahaha so. daily unakula kitimoto..dah..mm ananitia kinyaa..mm jaman niitie mbuzi ht km 20kms nakujà😁😁..napenda balaa mbuzi jaman..khaa!

Mbuzi choma kilo za kutosha na kaaugali kadogo.


Mkuu usijilamu mambo mengi ni zao la umezaliwa wapi ,umekulia dini au dhehebu gani na pia aina ya wazazi .

Huenda nam ningezaliwa mfano familia ya kisabato ningekuwa kama wewe.


All in all ukiwa na hela kula unachopenda.
 


Hii sentensi ya mwisho umemaliza..!natak nije niende Mwanza ...nikale samaki had wanikome...Mungu anipe pumz tu..
 
Hii sentensi ya mwisho umemaliza..!natak nije niende Mwanza ...nikale samaki had wanikome...Mungu anipe pumz tu..

Mwenyezi Mungu akutangalie katika hilo, itapendeza sana ukiwa na familia yako yote hapo muinjoi moment ya samaki.
 
Habari wadau. Leo tutakuwa na kikao cha Kwanza cha uanzishwaji wa hii project. Kikao kitaanza saa 11:00 jioni eneo la Tank Bovu Mbezi Beach, DSM. Ukihitaji details zaidi, please contact me privately. Nyote mnakaribishwa.
 
gaha
 

Mmmh!! Unaweza kuweka ushahidi wa kimaandishi kutoka vyanzo thabiti nasi tukarejea? Tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…