Natafuta Serious Partner wa Kuanzisha Mradi Mkubwa Wa Nguruwe Tanzania

Kiasi gani kinahitajika
 
Nmevutiwa ghafla mkuu nipo Iringa ningefurahi unipatie elimu kidogo
 
Hello UrbanGentleman ahsante Kwa kupenda kufahamu zaidi. Tumeanza mchakato wa kutengeneza business plan, document ambayo itatupa uwezo wa kutambua gharama halisi za mradi huu. So later this week nitakupa makadirio ya gharama za Kuanzisha huu mradi.
Kiasi gani kinahitajika
 
Nijurishe as soon as possible
Hello UrbanGentleman ahsante Kwa kupenda kufahamu zaidi. Tumeanza mchakato wa kutengeneza business plan, document ambayo itatupa uwezo wa kutambua gharama halisi za mradi huu. So later this week nitakupa makadirio ya gharama za Kuanzisha huu mradi.
 
Ahsante Kwa kufwatilia. Tumeanza ku-develop a business plan Kwa ajili ya Mradi ili tujue tunaelekea wap na Kwa namna gani. Soon tutakutana tena na wadau kuijadili na kuiapprove ili ituongeze. Karibu sana
 
hii ndo inaitwa kukubaliana kutokukubaliana
 
Asilimia kubwa ya mashoga wako coastal regions ambako wakazi wengi ni Muslims,Nyanda za juu huko tunakula hii kitu tangu utotoni huo upuuzi haupo
 
Asilimia kubwa ya mashoga wako coastal regions ambako wakazi wengi ni Muslims,Nyanda za juu huko tunakula hii kitu tangu utotoni huo upuuzi haupo


Ushoga utakuwepo kwa siri, kwani kwa mila na tamaduni za kiafrika ni aibu kubwa kujitangaza ushoga hadharani.

Halafu siku hizi hujasikia msemo wa "kula jicho" au "kula tigo" au "kula bata" au "kusasambua" nk, hiyo ni misemo inayowakilisha tabia iliyojengeka ya wanaume kuwaingilia wanawake kinyume na maumbile na hii huwa ndiyo hatua ya mwanzo ya watu kuelekea USHOGA, kwani shoga hauanzi papo kwa papo.

Watu wa ulaya na Asia mashariki ya mbali ndio walaji wakubwa wa kitimoto lakini ni Ulaya tu na nchi chache za Afrika Mashoga wanatambuliwa kisheria na hii ni baada ya mashoga kuongezeka huku kwetu (demand ni kubwa na supply lazima iongezeke/ haki zao lazima zilindwe)-- huko mashariki ya mbali huwezi kusikia Upuuzi huo wa watu kujitangaza ushoga kwasababu dini, tamaduni na mila zao haziruhusu jambo hilo kabisa sembuse kujitangaza!!??, shida Waafrika ni "Copy carts" ya watu wengine.

NB: Si kila shoga yupo hjvyo kwasababu ya kula kitimoto kwani wengine wamezaliwa wakiwa na huo ugonjwa wa Ushoga, lakini asilimia kubwa ya mashoga walianza kula SANA kitimoto wakiwa wadogo hadi utu uzima, ninaposema kula Kitimoto nadhani unajua, siyo eti robo kilo kwa mwezi mara moja!!-- ela ya BP!!😁, nazungumzia wale watu ambao kitimoto kwao ni "STAPLE FOOD" kama wazungu na huko mashariki ya mbali.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Imperically, ..... Ukila samaki mara kwa mara utaweza kuogelea kama samaki unao wala!!!!..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Imperically, ..... Ukila samaki mara kwa mara utaweza kuogelea kama samaki unao wala!!!!..



Wewe vipi unaelewa au unataka kupoteza muda?!!, kwa mawazo yako finyu imperically hata ukila nyama ya kuku na Wewe utataga mayai !!😁😁 si ndiyo??.

Iko hivi; ukila nyama ya kuku aliyekufa kwa sumu nawewe utakufa, na ndivyo ilivyo kwa kula nyama ya nguruwe mtu unapata "tabia" na menendo ya nguruwe kama vile Ushoga nk, kwa sababu nguruwe anavyo vichocheo mwilini mwake vinavyo mchochea apende USHOGA vichocheo hivyo vinayo madhara hayohayo kwa mlaji wa kitimoto. Hiyo ndiyo substance ya hiyo mada.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukila ya mbuzi utaota mapembeeeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚......na utakula majani kabsaa....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 


Mzee mbona Kama umeng'oa kwenye andiko langu la kibiashara nililoliacha pale wizara ya kilimo vetenary na ofisi ya kilimo ifakara n siku zimepita ilkua 2014, sema mie sikuifanya hiyo project KWASABABU ya uhaba wa pesa sema ukijifunga mkanda unatoka
 
Ulipata mtu wa kupartner nae mi nafuga tayari njoo tupanuane mawazo
 
mkuu naomba nikutafute pm
 
Kwa upande wa nadharia(kwenye makaratasi) upo vizuri mkuu na kama hii nadharia kwenye vitendo itakua hivihivi basi ushindi ni 100%,Mara nyingi wataalamu wengi wa bongo huwa kwenye vitendo hawako vizuri.
Mungu akutangulie.
 
Pole Sana Kiongozi. Hapana siwezi kufanya hivyo na sina sababu ya kufanya hiyo. Sisi tumeanza from the scratch na tumeandaa mpango wetu wenyewe juzi tu. Fwatilia mpango wako uingie kazini.
Mzee mbona Kama umeng'oa kwenye andiko langu la kibiashara nililoliacha pale wizara ya kilimo vetenary na ofisi ya kilimo ifakara n siku zimepita ilkua 2014, sema mie sikuifanya hiyo project KWASABABU ya uhaba wa pesa sema ukijifunga mkanda unatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…