Natafuta serious wife.

Quarterpin

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2013
Posts
1,253
Reaction score
1,083
Serious wife
Umri wangu ni miaka 30,elimu chuo, dini mkristo RC ni mwajiriwa niko hapa dsm natafuta a descent woman ambae atakuwa wife mwenye sifa zifuatazo;


Awe na shahada ya kwanza au zaidi katika fani yoyote anaweza kua ameajiriwa au asiwe au mwaka wa mwisho chuo pia awe na proven academic excellence.
Awe mtu mwenye mtazamo wa kujifunza zaidi
Awe na umri kati ya miaka 22-27
Anaweza kua mweupe au maji ya kunde mrefu kidogo coz me mrefu pia.
Awe mkristo wa dhehebu lolote kabila lolote.
Atoke familia iliyo serious na inayomjua mungu na yy pia awe mcha mungu na asiwe na mtoto. Pia awe anayajua majukumu ya mama vizuri coz na mm ya baba nayajua.


Aliye serious naomba uni pm,
Nawasilisha.
 
Naomba kuuliza swali "Hivi ni kweli hawa watu wanaotoa haya matangazo huwa wanakuwa serious"?
 
Mkuu yan umejiunga leo halafu duhh, au ndo unaogopa kuharibu goodwill ya id yako? Anyway kila la kheri.
 
Mmmmh mimi ndio nipo mwaka wa kwanza chuo naruhusiwa kutuma

dah mwaka wa kwanza utasupp sana aisee halaf utashindwa kuprove academic excellence, but depending on your seriousness u can be considered.
 
Hakuna hata aliye serious nia yao kucheza na hisia za watu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Siwezi pata supp kwa sababu ya mapenzi hapana chezea kichwa yng

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…