Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipo kaka kibiti heka moja laki 5Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Bajeti yako tu.Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Dar na Pwani hakuna mashamba chief, sema unahitaji kipande cha ardhi chenye ukubwa wa heka 10.Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
ok nimekupata mkuuDar na Pwani hakuna mashamba chief, sema unahitaji kipande cha ardhi chenye ukubwa wa heka 10.
Sasa kwa Dar ungesema unapendelea maeneo yapi?ok nimekupata mkuu
Njia ya kuelekea kusini mwanambaya na kuendelea si unaona ID inajieleza mkuuSasa kwa Dar ungesema unapendelea maeneo yapi?
Na eneo liwe linatazamana na mainroad ama ndani ndani?
Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Labda Pwani ndugu. Dar hakuna mashamba.Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Kiasi gani unatoaHabari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Lipo Kibiti,Habari
Natafuta shamba la ukubwa wa heka 10 liwe pwani au dar
Mkongwe nachakata replies kulingana na hitajio afu ntaPM wadau kadhaa ili weekend moja twende tukaone mali.We Mshamba Wa Kusini Mbona Wadau Wenye Mashamba wanajitokeza we umenyuti huwajibu.!
Una utani na Watu?
Inategemea na shambaKiasi gani unatoa
Pwani unalo? Kama unalo sehemu gani?Labda Pwani ndugu. Dar hakuna mashamba.