Heshima yenu Makamanda!
Wakubwa mimi ni Mwanafunzi wa University fulani hapa Nchini, Ninasomea Uhandisi wa Ujenzi, Maji na Barabara!
Kwa sasa baada ya kumaliza mwaka wa Masomo 2017/2018 tumepata likizo mpaka Mwezi novemba.. sasa kwa muda huu wa likizo kidogo natamani nijishughulishe na Shughuli ambayo inahusiana na field yangu!, Sipendi kukaa free.. nataka kuwa busy hasa na career yangu!
Ujuzi wangu Mpaka sasa!
1. Naweza kusoma Mchoro kwa ufasaha
2.Naifahamu surveying vizuri na kutumia vifaa kama total station na vingine!
3.Nafahamu Concrete vizuri na Concrete Quality Control
4.Pia Naifahamu kutumia AutoCAD
5.vivo hivyo nina uwezo wa kuwasiliana vizuri na mafundi site!
Kama unafahamu Kampuni yoyote ile inayojihusisha na Majengo, Barabara au Maji na inahitaji Skilled Person wa level yangu naomba unijulishe ukiweza ni PM
Asanteni!
Santana
Wakubwa mimi ni Mwanafunzi wa University fulani hapa Nchini, Ninasomea Uhandisi wa Ujenzi, Maji na Barabara!
Kwa sasa baada ya kumaliza mwaka wa Masomo 2017/2018 tumepata likizo mpaka Mwezi novemba.. sasa kwa muda huu wa likizo kidogo natamani nijishughulishe na Shughuli ambayo inahusiana na field yangu!, Sipendi kukaa free.. nataka kuwa busy hasa na career yangu!
Ujuzi wangu Mpaka sasa!
1. Naweza kusoma Mchoro kwa ufasaha
2.Naifahamu surveying vizuri na kutumia vifaa kama total station na vingine!
3.Nafahamu Concrete vizuri na Concrete Quality Control
4.Pia Naifahamu kutumia AutoCAD
5.vivo hivyo nina uwezo wa kuwasiliana vizuri na mafundi site!
Kama unafahamu Kampuni yoyote ile inayojihusisha na Majengo, Barabara au Maji na inahitaji Skilled Person wa level yangu naomba unijulishe ukiweza ni PM
Asanteni!
Santana