Natafuta shule iliyopo kijijini nikajitolee sharti kuwe na umeme tu

Natafuta shule iliyopo kijijini nikajitolee sharti kuwe na umeme tu

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Wakuu najua humu ndani walimu ni wengi akiwemo mpwayungu village, mm ni kijana wenu natarajia kumaliza chuo mwezi wa 7 tarehe 4 nafundisha BIOLOGY NA GEOGRAPHY level ya elimu ni DEGREE.

Nahitaji shule ya kujitolea angalau Kwa miaka miwili ili niwe competent kwelkwel.

MAHITAJI YANGU
  • Kijiji kiwe na umeme,
  • Nauli ya kunileta Kijijini au huo mkoa (mnaweza kukata tiketi kabsa nyie mwenyew m nifike kupanda bus tu)
  • Sehemu ya kulala
  • Na chakula Kwa mwezi wa kwanza
  • Mshahara mtanipa kwa jinsi mnavowalipa wengine wanaojitolea
 
Wenzako wa miaka SITA nyuma wanajitolea Kwa laki na mahitaji yote wanajitegemea.

Nenda English medium primary school ukafunge mkataba ule hizo 120 Kwa mwezi
 
Wakuu najua humu ndani walimu ni wengi akiwemo mpwayungu village, mm ni kijana wenu natarajia kumaliza chuo mwezi wa 7 tarehe 4 nafundisha BIOLOGY NA GEOGRAPHY level ya elimu ni DEGREE.

Nahitaji shule ya kujitolea angalau Kwa miaka miwili ili niwe competent kwelkwel.

MAHITAJI YANGU
  • Kijiji kiwe na umeme,
  • Nauli ya kunileta Kijijini au huo mkoa (mnaweza kukata tiketi kabsa nyie mwenyew m nifike kupanda bus tu)
  • Sehemu ya kulala
  • Na chakula Kwa mwezi wa kwanza
  • Mshahara mtanipa kwa jinsi mnavowalipa wengine wanaojitolea
njo tufiatue matofali tujenge shule yetu nina kiwanja eka 6 hapa kijijini kuna umeme
 
Back
Top Bottom