Natafuta shule kwa ajili ya binti yangu

Natafuta shule kwa ajili ya binti yangu

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,734
Assalam aleikum wana JF,, nawaombeni kwa heshima na taadhima kama kuna mwenye kuju shule nzuri ya secondary maeneo ya karibu na Bunju,, nafadhari naoma sana unifahamishe,, binti yangu alitakiwa kuingia form 4 this year,, lakini kutokana na ukweli kuwa hakupata C 5 kama requirements pale shuleni kwao hakuchaguliwa kuendelea na shule. ningependa sana kama katika shule mtakazo nitajia za kidini iwe kipaumbele,, sisi ni waislam. Niko mbali sana kwa kweli Insha Allah narudi feb 2014 kwa vyoyote nitakuwa nimechelewa. tusaidiane kama wazazi,, na wanafamilia... natanguliza shukran

Ahalan wassahalan
 
Sheikh mimi sijui lakini tuwasubbir wenye kujua waje. All the best
 
Assalam aleikum wana JF,, nawaombeni kwa heshima na taadhima kama kuna mwenye kuju shule nzuri ya secondary maeneo ya karibu na Bunju,, nafadhari naoma sana unifahamishe,, binti yangu alitakiwa kuingia form 4 this year,, lakini kutokana na ukweli kuwa hakupata C 5 kama requirements pale shuleni kwao hakuchaguliwa kuendelea na shule. ningependa sana kama katika shule mtakazo nitajia za kidini iwe kipaumbele,, sisi ni waislam. Niko mbali sana kwa kweli Insha Allah narudi feb 2014 kwa vyoyote nitakuwa nimechelewa. tusaidiane kama wazazi,, na wanafamilia... natanguliza shukran

Ahalan wassahalan

Napata kama harufu ya ''udini'' vile, kama nakosea nisamehewe. Shule gani alikua anasoma? Naona umeweka limitation ktk shule za kidini na kuweka msisitizo kwamba ninyi ni waislamu katika maana hata hizo shule ziwe za mlengo huo. Mimi ni mkristo, kama kweli unataka mwanao asome, ningekushauri utazame hata shule zisizo na imani ya kiislamu hata zile za kikristo, wako waislamu wanapeleka watoto wao huko. Ngoja waje wengine na michango yao.
 
unataka kuniambia hakuna seminari za kikristu?? mbona ziko nyingi tu,,, au kosa langu nikusema mm mwislam!! nimesema hivyo nkitaka mtoto elimu zote ikiwa pamoja elimu ya dini yake,,,,, na mm sijaroja hapa
 
unataka kuniambia hakuna seminari za kikristu?? mbona ziko nyingi tu,,, au kosa langu nikusema mm mwislam!! nimesema hivyo nkitaka mtoto elimu zote ikiwa pamoja elimu ya dini yake,,,,, na mm sijaroja hapa

Ni kweli kabisa, wakristo hasa wana hizo seminari, lakini pia wana hata zile ambazo hazina mipaka. Kama nia ni hiyo ya kumtaka apate na elimu ya dini yake, subiri waje wanaozifahamu za mlengo huo zilizokaribu na Bunju. Na mimi huo ndo ulikua mchango wangu.
 
Assalam aleikum wana JF,, nawaombeni kwa heshima na taadhima kama kuna mwenye kuju shule nzuri ya secondary maeneo ya karibu na Bunju,, nafadhari naoma sana unifahamishe,, binti yangu alitakiwa kuingia form 4 this year,, lakini kutokana na ukweli kuwa hakupata C 5 kama requirements pale shuleni kwao hakuchaguliwa kuendelea na shule. ningependa sana kama katika shule mtakazo nitajia za kidini iwe kipaumbele,, sisi ni waislam. Niko mbali sana kwa kweli Insha Allah narudi feb 2014 kwa vyoyote nitakuwa nimechelewa. tusaidiane kama wazazi,, na wanafamilia... natanguliza shukran

Ahalan wassahalan

poa bosi ila kwa kuwa una shida u should not specify nature ya school cz what u need is better school to pass exam..mlete moshi kama uko serious.
 
Ni kweli kabisa, wakristo hasa wana hizo seminari, lakini pia wana hata zile ambazo hazina mipaka. Kama nia ni hiyo ya kumtaka apate na elimu ya dini yake, subiri waje wanaozifahamu za mlengo huo zilizokaribu na Bunju. Na mimi huo ndo ulikua mchango wangu.
Brother acha ligi bana. mtajie shule anayoitaka kama hujui kaa pembeni.
Anyway, msumeno kuna shule ya Ununio ni ya kiisalamu na kule Kunduchi pia ipo Kunduchi girls nayo ni ya maadili ya dini yako.
Kunduchi girls academicaly wapo vizuri kuliko Ununio.
 
Last edited by a moderator:
unataka kuniambia hakuna seminari za kikristu?? mbona ziko nyingi tu,,, au kosa langu nikusema mm mwislam!! nimesema hivyo nkitaka mtoto elimu zote ikiwa pamoja elimu ya dini yake,,,,, na mm sijaroja hapa

Umembwela mkuu
 
Assalam aleikum wana JF,, nawaombeni kwa heshima na taadhima kama kuna mwenye kuju shule nzuri ya secondary maeneo ya karibu na Bunju,, nafadhari naoma sana unifahamishe,, binti yangu alitakiwa kuingia form 4 this year,, lakini kutokana na ukweli kuwa hakupata C 5 kama requirements pale shuleni kwao hakuchaguliwa kuendelea na shule. ningependa sana kama katika shule mtakazo nitajia za kidini iwe kipaumbele,, sisi ni waislam. Niko mbali sana kwa kweli Insha Allah narudi feb 2014 kwa vyoyote nitakuwa nimechelewa. tusaidiane kama wazazi,, na wanafamilia... natanguliza shukran

Ahalan wassahalan

MLETE JOHN THE BAPTIST SEC.GIRLS, ipo basihaya, 0766988326
 
Brother acha ligi bana. mtajie shule anayoitaka kama hujui kaa pembeni.
Anyway, msumeno kuna shule ya Ununio ni ya kiisalamu na kule Kunduchi pia ipo Kunduchi girls nayo ni ya maadili ya dini yako.
Kunduchi girls academicaly wapo vizuri kuliko Ununio.

Nilitaka nimtajie hizo shule lakini nikasita baada ya kusema anataka shule nzuri kitaaluma. Ukifuatilia matokeo ya hizi shule hutamshauri rafiki ampeleke mwanae pale.
 
Last edited by a moderator:
MLETE JOHN THE BAPTIST SEC.GIRLS, ipo basihaya, 0766988326

Labda kama imebadilika. Nidhamu kwenye hii shule, binti yangu sikuweza kuruhusu aendelee kusoma kidato cha pili pale.
 
Bora ungesema unataka shule bora ambayo ni neutral...lakini ukija kwenye ubora wa shule.za kikristu ndo zinaongoza kubali ukatae.....ss km unataka za dini yako mpeleke akaokote zero vizuri maana huko ni dini ndo kipaumbele
Mpeleke alharamain sijui ndo inavyoandikwa...kuna shule chang'ombe karibu na taifa...sijui ht km zinafika 5 kwa dar hii
 
mpeleke kinondoni musilim wako vizuri hasa upande wa elimu ya dini
 
Amani na Upendo vitawale ninyi nyote ni wasafiri chukulianeni ninyi kwa ninyi "watoto wa baba mmoja"
 
ni kweli wazo lako zuri ila unajua ukiwa mlezi pekee , na ukawa hauko nyumbani,, walau huko kwenye dini wanaweza kukulelea kimaadili na hii haijalishi wewe ni dini gani,, chaguo langu la kwanza ni shule za kiislam,, la pili za kidini upande wa wenzangu na ndugu zangu wakristo mwisho kabisa za secular ... na hii kama nitakosa kabisa,, ndo maana ndugu yangu pale alie nishauri pale basihaya nimesha mPM
 
Dah,mi nakushauri mpeleke Mbwaga girls secondary school!kwa elimu bora ya mwanao,mtihani wa mwaka jana form iv,imekuwa ya 9 kitaifa under 40 student!
 
Back
Top Bottom