Kuna shule moja ipo Iringa inaitwa St. Thomas Nyabula secondry ipo wa 9km kutoka ipogolo na inafikika kwa daladala, inamaadili ya katoliki. Wastan wa kuhama darasa ni 50% chini ya hapa anarudia au ahame shule. Ni ya boarding na ada ni laki 8.5 ndo imetoa form 4 kwa mara ya kwanza. Mitihani yote ya kimkoa ipo kwenye kumi bora. Jaribu hii mkuu, ipo nyingine inaitwa consolata secondary inasifa sawa na hii ila wastan wao ni 45% na ada laki 9.5, ipo baada ya kumaliza kona za mwangata unapoelekea Ruaha National park. Ni ya boarding